Vitambulisho Malaysia 'vyawakuna' wabunge

Vitambulisho Malaysia 'vyawakuna' wabunge

Dume la Mende

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
423
Reaction score
66
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]
[/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 11 July 2011 08:56
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]


BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeridhishwa na uwezo wa kiteknolojia
alionao mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kutengeneza Vitambulisho vya Taifa.

Hayo yalisemwa jana na timu ya wabunge waliotembelea Kampuni ya Iris Corporation Berhad ya Malaysia, iliyoshinda zabuni ya kutengeneza vitambulisho hivyo walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia ziara hiyo, Mkuu wa msafara huo, Anna Abdallah, alisema serikali imechelewa kutoa Vitambulisho vya Taifa na kwamba sasa lazima iharakishe mchakato huo kwa sababu vina faida nyingi kwa ustawi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tanzania.

"Sisi wabunge tunasema Vitambulisho vya Taifa, lazima vitolewe haraka kwa sababu ni muhimu kutambuana. Huwezi kumtofautisha Mtanzania na watu wa mataifa mengine kwa rangi au sura tu. Lazima tuwe na Vitambulisho vya Taifa," alisema.

"Wenzetu Malaysia wanatoa vitambulisho hata kwa watoto wadogo kwa nini sisi tushindwe," alisema.

Akiizungumzia Kampuni ya Iris alisema, "mi kampuni namba moja duniani katika kutengeneza vitambulisho vya kisasa. Hata mataifa ya Ulaya yanakwenda kujifunza kwa kampuni hiyo. Tutegemee kitu kizuri."

Mbunge wa Mlalo (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu, Hassan Ngwilizi alisema Kampuni ya Iris ina uwezo mkubwa na italisaidia taifa, kutengeneza mfumo wa utambuzi na usajili wa watu na hatimaye kutoa Vitambulisho vya Taifa vyenye ubora wa hali ya juu.

Alisema teknolojia itakayotumiwa kutengeneza vitambulisho ambayo pia imetumiwa na Malaysia ni ya kisasa na kwamba inaweza kuhifadhi taarifa nyingi katika kitambulisho kimoja.

"Wenzetu wamepiga hatua, wameweza kuweka hata hati ya kusafiria katika vitambulisho vyao vya taifa," alisisitiza.

Kwa upande wake, Mbunge wa Maswa (Chadema), John Shibuda, alisema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) inapaswa kuungwa mkono ili ipate fedha na kuanza utekelezaji wa mradi huo.

"Vitambulisho ni mbegu ambayo itazaa matunda mengi, tuiwezeshe Nida ili tuvune
matunda yake haraka. Ni mradi utakaoleta neema kwa sababu ukianza kutekelezwa
ndani ya mwaka mmoja tunaweza kupata zaidi ya trilioni mbili," alisisitiza.

Alisema nchi kama Kenya haitegemei wafadhili, na kwamba inakusanya kodi inatokana na vitambulisho vya taifa.

Wabunge waliozulu Iris Corporation Berhad ni Anna Abdallah (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu Ngwilizi (CCM), Hamad Rashid Mohamed
(CUF), Betty Machangu (CCM), Moses Machali (NCCR-Mageuzi), Jasson Rweikiza
(CCM), Rebecca Mngodo (Chadema) na Anastazia Wambura (CCM).

Wengine ni Rachael Mashishanga (Chadema), Mohamed Sanya (CUF), Mussa Hassan Mussa na
John Shibuda (Chadema).

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ilisaini rasmi mkataba na Mkandarasi, Iris
Corporation Berhad ya Malaysia Aprili 21, mwaka huu

Mkataba huu ulitiwa saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha kwa niaba ya Serikali.


Source?: Mwananchi



[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hiyo gharama ya kuandaa vitambulisho tungeielekeza kwenye umeme, tatizo la umeme likishatengamaa ndiposa tuendelee na vitambulisho. Kuna uharaka gani wa kuwa na vitambulisho wakati tumeishi bila vitambulisho kwa miaka 50 iliyopita na hakuna madhara makubwa yaliyotokea?. Kukosekana kwa umeme madhara yake ni makubwa sana kuliko Mtanzania kutokuwa na kitambulisho
 
huu mradi ni mzuri sana lakini cha kusikitisha ni kuwa hawa wabunge wanauangalia kwa mazingira ya ki-Malaysia Malaysia na wanasahau kuwa hapa kuna watu wana hadi kadi 5 ya mpiga kura na wengine hatuna hata sehemu ya kutunzia hivyo vitambulisho - namaanisha makazi!
Pia tuangalie idadi kubwa ya wabunge (mkuu wa msafara) na wengineo inatia mashaka kama wanaweza kuelewa "yaliyojificha nyuma ya pazia".
Katu hatujasahau mradi wa RICHMOND ulivyopambwa na "sukari tamu kwa juu" na walikuwa WaTZ wachache sana walioweza kujua kuwa "ile layer ya juu ilifunika Krorokwini ambayo hakuna hata mmoja wetu leo yuko tayari kuimeza".
Any way, ndipo nchi ilipo!
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"][/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 11 July 2011 08:56
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Akizungumzia ziara hiyo, Mkuu wa msafara huo, Anna Abdallah, alisema serikali imechelewa kutoa Vitambulisho vya Taifa na kwamba sasa lazima iharakishe mchakato huo kwa sababu vina faida nyingi kwa ustawi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tanzania.

"Vitambulisho ni mbegu ambayo itazaa matunda mengi, tuiwezeshe Nida ili tuvune
matunda yake haraka. Ni mradi utakaoleta neema kwa sababu ukianza kutekelezwa
ndani ya mwaka mmoja tunaweza kupata zaidi ya trilioni mbili," alisisitiza.

Alisema nchi kama Kenya haitegemei wafadhili, na kwamba inakusanya kodi inatokana na vitambulisho vya taifa.

Wabunge waliozulu Iris Corporation Berhad ni Anna Abdallah (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu Ngwilizi (CCM), Hamad Rashid Mohamed
(CUF), Betty Machangu (CCM), Moses Machali (NCCR-Mageuzi), Jasson Rweikiza
(CCM), Rebecca Mngodo (Chadema) na Anastazia Wambura (CCM).

Wengine ni Rachael Mashishanga (Chadema), Mohamed Sanya (CUF), Mussa Hassan Mussa na
John Shibuda (Chadema).


Mkataba huu ulitiwa saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha kwa niaba ya Serikali.


Source?: Mwananchi


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
huu mradi ni mzuri sana lakini cha kusikitisha ni kuwa hawa wabunge wanauangalia kwa mazingira ya ki-Malaysia Malaysia na wanasahau kuwa hapa kuna watu wana hadi kadi 5 ya mpiga kura na wengine hatuna hata sehemu ya kutunzia hivyo vitambulisho - namaanisha makazi!
Pia tuangalie idadi kubwa ya wabunge (mkuu wa msafara) na wengineo inatia mashaka kama wanaweza kuelewa "yaliyojificha nyuma ya pazia".
Katu hatujasahau mradi wa RICHMOND ulivyopambwa na "sukari tamu kwa juu" na walikuwa WaTZ wachache sana walioweza kujua kuwa "ile layer ya juu ilifunika Krorokwini ambayo hakuna hata mmoja wetu leo yuko tayari kuimeza".
Any way, ndipo nchi ilipo!

Katika hiyo delegation ni wangapi wenye ujuzi wa kutumia computer?
 
Hiyo gharama ya kuandaa vitambulisho tungeielekeza kwenye umeme, tatizo la umeme likishatengamaa ndiposa tuendelee na vitambulisho. Kuna uharaka gani wa kuwa na vitambulisho wakati tumeishi bila vitambulisho kwa miaka 50 iliyopita na hakuna madhara makubwa yaliyotokea?. Kukosekana kwa umeme madhara yake ni makubwa sana kuliko Mtanzania kutokuwa na kitambulisho


Mkuu naomba nitofautiine na wewe kidogo.

Vitambulihso ni muhimu sana lakini tatizo ni hata hao wanaovitetea hawajui umuhimu wake.

Ni kwasababu hawajui umuhimu na matumzi wa vitambulisho ndio maaana wanadhani kitambulisho na dafatri la mpiga kura maztumizi yake yake yanaishia kwenye uchaguzi tu.

So serikali imeingia gharama ya kutengeneza dublicate systems ya taarifa za watu nyingine kwa kitu ambacho kingeweza kufanyika kifanisi kwa gharama nafuu chini ya mwamvuli mmoja. hilo tu kwangu ndo naona kosa.


Japo ni vitu tofauti Kitambulisho cha mpiga kura, Passport, na kitambulisho cha taifa vinatakiwa kuwa na uhusiano. kama system za haya mambo hazitaweza kuwa na intergrated ya kushare data no matter how goo one system is haiztakuwa na manufaa makuwba kwa taifa.

Baadae tena tutasikia na Polis wanaazisha mfumo wa uasili wakazi wa mijini. Duplicating the same ting in different name.

So kwa hili la kitambulisho cha taifa mi najiuliza
  • kwa nini hawakufikiria kuboresha kitambulisho cha mpiga kura
 
na sasa mkuu kuna issue ya njaa. Sisi tuna-embark kwenye miradi isiyokuwa na manufaa yoyote kwa Mtz wa kawaida, the incentive being just 10%!!! alafu kesho utaona tunaanza kuomba fedha na misaada ya chakula.
Hiyo gharama ya kuandaa vitambulisho tungeielekeza kwenye umeme, tatizo la umeme likishatengamaa ndiposa tuendelee na vitambulisho. Kuna uharaka gani wa kuwa na vitambulisho wakati tumeishi bila vitambulisho kwa miaka 50 iliyopita na hakuna madhara makubwa yaliyotokea?. Kukosekana kwa umeme madhara yake ni makubwa sana kuliko Mtanzania kutokuwa na kitambulisho
 
Ningekuwa mwandishi heading ya hii story ingekuwa na Angle ifuatayo:

" Bunge laingia tena jikoni, wabunge watembelea Kampuni iliyoshinda zabuni"

Katika hali ya kawaida serikali imetumia shillingi billioni moja ( or whatever it is ) kutuma kundi la wabunge 12 na maafisa wa bunge wanane kwenda malaysia kukagua kampuni ya iris amabayo tayari imepewa zabuni ya kutendeneza vitambulisho vya taifa.

Ziara hiyo, ambayo haikuwa na tija yoyote isingeweza kubatilisha zabuni ambayo kampuni hiyo imepewa na wazara ya mambo ya ndani ya nchi hapo mwaka kwani kisheria na kikatiba bunge au kamati yoyote ya bunge haiwezi kubatilisha tenda iliyotolewa kihalali na serikali.

Kiasi cha fedha kilichotumiwa na wabunge hao kilijuimisha tiketi za ndege za daraja........ , posho ya kujikimu na............ ambazo kama zingewekwa kwenye shughuli za maendeleo zingeweza kujenga vyoo 100 katika shule 50 za msingi, kwa hesabu iliyotolewa na waziri kawambwa hivi karibuni. Aghalabu hela hiyo vilevile ingeweza kununua maboksi 10000 ya dawa mseto za malaria ambazo ni adimu kupatikana katika zahanati za vijijini.
 
Mkuu naomba nitofautiine na wewe kidogo.

Vitambulihso ni muhimu sana lakini tatizo ni hata hao wanaovitetea hawajui umuhimu wake.


Ni kwasababu hawajui umuhimu na matumzi wa vitambulisho ndio maaana wanadhani kitambulisho na dafatri la mpiga kura maztumizi yake yake yanaishia kwenye uchaguzi tu.

So serikali imeingia gharama ya kutengeneza dublicate systems ya taarifa za watu nyingine kwa kitu ambacho kingeweza kufanyika kifanisi kwa gharama nafuu chini ya mwamvuli mmoja. hilo tu kwangu ndo naona kosa.


Japo ni vitu tofauti Kitambulisho cha mpiga kura, Passport, na kitambulisho cha taifa vinatakiwa kuwa na uhusiano. kama system za haya mambo hazitaweza kuwa na intergrated ya kushare data no matter how goo one system is haiztakuwa na manufaa makuwba kwa taifa.

Baadae tena tutasikia na Polis wanaazisha mfumo wa uasili wakazi wa mijini. Duplicating the same ting in different name.

So kwa hili la kitambulisho cha taifa mi najiuliza
  • kwa nini hawakufikiria kuboresha kitambulisho cha mpiga kura
In RED: Nani mwenye jukumu la kuwaelimisha juu ya umuhimu wa vitambulisho hivyo?
 
Ningekuwa mwandishi heading ya hii story ingekuwa na Angle ifuatayo:

" Bunge laingia tena jikoni, wabunge watembelea Kampuni iliyoshinda zabuni"

Katika hali ya kawaida serikali imetumia shillingi billioni moja ( or whatever it is ) kutuma kundi la wabunge 12 na maafisa wa bunge wanane kwenda malaysia kukagua kampuni ya iris amabayo tayari imepewa zabuni ya kutendeneza vitambulisho vya taifa.

Ziara hiyo, ambayo haikuwa na tija yoyote isingeweza kubatilisha zabuni ambayo kampuni hiyo imepewa na wazara ya mambo ya ndani ya nchi hapo mwaka kwani kisheria na kikatiba bunge au kamati yoyote ya bunge haiwezi kubatilisha tenda iliyotolewa kihalali na serikali.

Kiasi cha fedha kilichotumiwa na wabunge hao kilijuimisha tiketi za ndege za daraja........ , posho ya kujikimu na............ ambazo kama zingewekwa kwenye shughuli za maendeleo zingeweza kujenga vyoo 100 katika shule 50 za msingi, kwa hesabu iliyotolewa na waziri kawambwa hivi karibuni. Aghalabu hela hiyo vilevile ingeweza kununua maboksi 10000 ya dawa mseto za malaria ambazo ni adimu kupatikana katika zahanati za vijijini.


I salute you !
 
Mkuu naomba nitofautiine na wewe kidogo.

Vitambulihso ni muhimu sana lakini tatizo ni hata hao wanaovitetea hawajui umuhimu wake.

Ni kwasababu hawajui umuhimu na matumzi wa vitambulisho ndio maaana wanadhani kitambulisho na dafatri la mpiga kura maztumizi yake yake yanaishia kwenye uchaguzi tu.

So serikali imeingia gharama ya kutengeneza dublicate systems ya taarifa za watu nyingine kwa kitu ambacho kingeweza kufanyika kifanisi kwa gharama nafuu chini ya mwamvuli mmoja. hilo tu kwangu ndo naona kosa.


Japo ni vitu tofauti Kitambulisho cha mpiga kura, Passport, na kitambulisho cha taifa vinatakiwa kuwa na uhusiano. kama system za haya mambo hazitaweza kuwa na intergrated ya kushare data no matter how goo one system is haiztakuwa na manufaa makuwba kwa taifa.

Baadae tena tutasikia na Polis wanaazisha mfumo wa uasili wakazi wa mijini. Duplicating the same ting in different name.

So kwa hili la kitambulisho cha taifa mi najiuliza
  • kwa nini hawakufikiria kuboresha kitambulisho cha mpiga kura

Toka kuzaliwa kwako hadi leo huna kitambulisho cha Taifa, umepata madhara gani? Embu chukulia kwamba wewe una saloom yenye vijana watatu wanaofanya kazi ya kunyoa nywele, huna uwezo wa kununua jenereta; unafikiri hii hali inayoendelea sasa utaweza kulipa kodi ya hicho chumba? Je wewe, wenzio na familia zenu mtapata mahitaji yenu ya kila siku kama kawaida? Kuna umuhimu wa kuangalia vipaumbele vya taifa
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"][/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 11 July 2011 08:56 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeridhishwa na uwezo wa kiteknolojia
alionao mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kutengeneza Vitambulisho vya Taifa.

Hayo yalisemwa jana na timu ya wabunge waliotembelea Kampuni ya Iris Corporation Berhad ya Malaysia, iliyoshinda zabuni ya kutengeneza vitambulisho hivyo walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia ziara hiyo, Mkuu wa msafara huo, Anna Abdallah, alisema serikali imechelewa kutoa Vitambulisho vya Taifa na kwamba sasa lazima iharakishe mchakato huo kwa sababu vina faida nyingi kwa ustawi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tanzania.

"Sisi wabunge tunasema Vitambulisho vya Taifa, lazima vitolewe haraka kwa sababu ni muhimu kutambuana. Huwezi kumtofautisha Mtanzania na watu wa mataifa mengine kwa rangi au sura tu. Lazima tuwe na Vitambulisho vya Taifa," alisema.

"Wenzetu Malaysia wanatoa vitambulisho hata kwa watoto wadogo kwa nini sisi tushindwe," alisema.

Akiizungumzia Kampuni ya Iris alisema, "mi kampuni namba moja duniani katika kutengeneza vitambulisho vya kisasa. Hata mataifa ya Ulaya yanakwenda kujifunza kwa kampuni hiyo. Tutegemee kitu kizuri."

Mbunge wa Mlalo (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu, Hassan Ngwilizi alisema Kampuni ya Iris ina uwezo mkubwa na italisaidia taifa, kutengeneza mfumo wa utambuzi na usajili wa watu na hatimaye kutoa Vitambulisho vya Taifa vyenye ubora wa hali ya juu.

Alisema teknolojia itakayotumiwa kutengeneza vitambulisho ambayo pia imetumiwa na Malaysia ni ya kisasa na kwamba inaweza kuhifadhi taarifa nyingi katika kitambulisho kimoja.

"Wenzetu wamepiga hatua, wameweza kuweka hata hati ya kusafiria katika vitambulisho vyao vya taifa," alisisitiza.

Kwa upande wake, Mbunge wa Maswa (Chadema), John Shibuda, alisema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) inapaswa kuungwa mkono ili ipate fedha na kuanza utekelezaji wa mradi huo.

"Vitambulisho ni mbegu ambayo itazaa matunda mengi, tuiwezeshe Nida ili tuvune
matunda yake haraka. Ni mradi utakaoleta neema kwa sababu ukianza kutekelezwa
ndani ya mwaka mmoja tunaweza kupata zaidi ya trilioni mbili," alisisitiza.

Alisema nchi kama Kenya haitegemei wafadhili, na kwamba inakusanya kodi inatokana na vitambulisho vya taifa.

Wabunge waliozulu Iris Corporation Berhad ni Anna Abdallah (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu Ngwilizi (CCM), Hamad Rashid Mohamed
(CUF), Betty Machangu (CCM), Moses Machali (NCCR-Mageuzi), Jasson Rweikiza
(CCM), Rebecca Mngodo (Chadema) na Anastazia Wambura (CCM).

Wengine ni Rachael Mashishanga (Chadema), Mohamed Sanya (CUF), Mussa Hassan Mussa na
John Shibuda (Chadema).

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ilisaini rasmi mkataba na Mkandarasi, Iris
Corporation Berhad ya Malaysia Aprili 21, mwaka huu

Mkataba huu ulitiwa saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha kwa niaba ya Serikali.


Source?: Mwananchi


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

HAPO KWENYE RED: Huyu mama kilaza sana. Hajui kuwa uchumi wa Malaysia ni mkubwa sana kulinganisha na Tz?? Kutengeneza vitambulisho kwa hitaji hela nyingi
 
Toka kuzaliwa kwako hadi leo huna kitambulisho cha Taifa, umepata madhara gani? Embu chukulia kwamba wewe una saloom yenye vijana watatu wanaofanya kazi ya kunyoa nywele, huna uwezo wa kununua jenereta; unafikiri hii hali inayoendelea sasa utaweza kulipa kodi ya hicho chumba? Je wewe, wenzio na familia zenu mtapata mahitaji yenu ya kila siku kama kawaida? Kuna umuhimu wa kuangalia vipaumbele vya taifa

madhara yapo japo sio physical mkuu mengi sanaaaaaa tu.

mfano ukienda kuomba passport unatakiwa ukaape kwa wakili au kwenda mahakami kula kiapo japo unacho kitambulisho cha mpiga kura. au japunacho cheti cha kuzaliwa. Ina maana idara ya uhamiaji haiamini kitambulisho cha mpiga kura kitu kinachotlwa na serikali ile ile kwa watanzania tuu.

Ina maadha pia Idara ya uhamiaji hina imani na system ya Vizazi na vifo inyota cheti cha kuzaliwa. Hli kwangu ndo tatizo

Madhara yanayoendana na hilo jambo dogo ni gharama zaidi ,ucheleweshaji na sometime serikali kuwa na taarifa tofauti kwa mtu mmoja. yaani yapo madhara kama haya mengi tu.

Serikali haina Takwimu sahihii ya vitu fulani fulani au meaneo fulani.Mfano ukienda Polisi unaawaambia Masanja msema kweli akutishia hawana uwezo japo wa kujua Huyu Masanja msema kweli ni Mkazi wa wapi. Lakini Polisi wangekuwa na acess ya baadhi ya taarifa kwenye daftari la mpiga kura ingewasaidi kusghulukia baadhi ya matatizo ya uhalifu na zero za wananchi kwa urahisi.

Umuhimu wa Takwimu ni jinsi unavyoziunganisha na kuzifanyia analysis. So far serikali haina takwimu zinazoweza kuwasaidia kupanga maendeleo ya watu wake maeneo mabli bali iwe ni elimu, uhalifu, magonjwa.

Hivi vitambulisho vnasadia kukusaya taarifa. kama kukiwa a watalmu wa tawimu wanaweza kuja na taariffa zaidi ya zile tunazoona kwenye vitambulisho.

Mkuu vitambulisho au NATIONAL ID muhimu kwa uelewa wangu mdogo . but narudia hawa wanasiasa wetu hawajui umuhimu wake so hii miradi ni ya kisiasa tu . But kwa watu makini Itambulisho kinaweza kusaidia sana kwenye mambo mengi.
 
Hivi hizi kadi za benki zinatengenezwa nje?


[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"][/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 11 July 2011 08:56 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeridhishwa na uwezo wa kiteknolojia
alionao mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kutengeneza Vitambulisho vya Taifa.

Hayo yalisemwa jana na timu ya wabunge waliotembelea Kampuni ya Iris Corporation Berhad ya Malaysia, iliyoshinda zabuni ya kutengeneza vitambulisho hivyo walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia ziara hiyo, Mkuu wa msafara huo, Anna Abdallah, alisema serikali imechelewa kutoa Vitambulisho vya Taifa na kwamba sasa lazima iharakishe mchakato huo kwa sababu vina faida nyingi kwa ustawi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tanzania.

"Sisi wabunge tunasema Vitambulisho vya Taifa, lazima vitolewe haraka kwa sababu ni muhimu kutambuana. Huwezi kumtofautisha Mtanzania na watu wa mataifa mengine kwa rangi au sura tu. Lazima tuwe na Vitambulisho vya Taifa," alisema.

"Wenzetu Malaysia wanatoa vitambulisho hata kwa watoto wadogo kwa nini sisi tushindwe," alisema.

Akiizungumzia Kampuni ya Iris alisema, "mi kampuni namba moja duniani katika kutengeneza vitambulisho vya kisasa. Hata mataifa ya Ulaya yanakwenda kujifunza kwa kampuni hiyo. Tutegemee kitu kizuri."

Mbunge wa Mlalo (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu, Hassan Ngwilizi alisema Kampuni ya Iris ina uwezo mkubwa na italisaidia taifa, kutengeneza mfumo wa utambuzi na usajili wa watu na hatimaye kutoa Vitambulisho vya Taifa vyenye ubora wa hali ya juu.

Alisema teknolojia itakayotumiwa kutengeneza vitambulisho ambayo pia imetumiwa na Malaysia ni ya kisasa na kwamba inaweza kuhifadhi taarifa nyingi katika kitambulisho kimoja.

"Wenzetu wamepiga hatua, wameweza kuweka hata hati ya kusafiria katika vitambulisho vyao vya taifa," alisisitiza.

Kwa upande wake, Mbunge wa Maswa (Chadema), John Shibuda, alisema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) inapaswa kuungwa mkono ili ipate fedha na kuanza utekelezaji wa mradi huo.

"Vitambulisho ni mbegu ambayo itazaa matunda mengi, tuiwezeshe Nida ili tuvune
matunda yake haraka. Ni mradi utakaoleta neema kwa sababu ukianza kutekelezwa
ndani ya mwaka mmoja tunaweza kupata zaidi ya trilioni mbili," alisisitiza.

Alisema nchi kama Kenya haitegemei wafadhili, na kwamba inakusanya kodi inatokana na vitambulisho vya taifa.

Wabunge waliozulu Iris Corporation Berhad ni Anna Abdallah (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu Ngwilizi (CCM), Hamad Rashid Mohamed
(CUF), Betty Machangu (CCM), Moses Machali (NCCR-Mageuzi), Jasson Rweikiza
(CCM), Rebecca Mngodo (Chadema) na Anastazia Wambura (CCM).

Wengine ni Rachael Mashishanga (Chadema), Mohamed Sanya (CUF), Mussa Hassan Mussa na
John Shibuda (Chadema).

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ilisaini rasmi mkataba na Mkandarasi, Iris
Corporation Berhad ya Malaysia Aprili 21, mwaka huu

Mkataba huu ulitiwa saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha kwa niaba ya Serikali.


Source?: Mwananchi


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
madhara yapo japo sio physical mkuu mengi sanaaaaaa tu.

mfano ukienda kuomba passport unatakiwa ukaape kwa wakili au kwenda mahakami kula kiapo japo unacho kitambulisho cha mpiga kura. au japunacho cheti cha kuzaliwa. Ina maana idara ya uhamiaji haiamini kitambulisho cha mpiga kura kitu kinachotlwa na serikali ile ile kwa watanzania tuu.

Ina maadha pia Idara ya uhamiaji hina imani na system ya Vizazi na vifo inyota cheti cha kuzaliwa. Hli kwangu ndo tatizo

Madhara yanayoendana na hilo jambo dogo ni gharama zaidi ,ucheleweshaji na sometime serikali kuwa na taarifa tofauti kwa mtu mmoja. yaani yapo madhara kama haya mengi tu.

Serikali haina Takwimu sahihii ya vitu fulani fulani au meaneo fulani.Mfano ukienda Polisi unaawaambia Masanja msema kweli akutishia hawana uwezo japo wa kujua Huyu Masanja msema kweli ni Mkazi wa wapi. Lakini Polisi wangekuwa na acess ya baadhi ya taarifa kwenye daftari la mpiga kura ingewasaidi kusghulukia baadhi ya matatizo ya uhalifu na zero za wananchi kwa urahisi.

Umuhimu wa Takwimu ni jinsi unavyoziunganisha na kuzifanyia analysis. So far serikali haina takwimu zinazoweza kuwasaidia kupanga maendeleo ya watu wake maeneo mabli bali iwe ni elimu, uhalifu, magonjwa.

Hivi vitambulisho vnasadia kukusaya taarifa. kama kukiwa a watalmu wa tawimu wanaweza kuja na taariffa zaidi ya zile tunazoona kwenye vitambulisho.

Mkuu vitambulisho au NATIONAL ID muhimu kwa uelewa wangu mdogo . but narudia hawa wanasiasa wetu hawajui umuhimu wake so hii miradi ni ya kisiasa tu . But kwa watu makini Itambulisho kinaweza kusaidia sana kwenye mambo mengi.

Ni Watanzania wangapi kwa kila mia wanahitaji passport? Na wewe unadhani ukiwa na kitambulisho cha Taifa wataondoa huo ukiritimba wa kupeleka kiapo?
 
Mkuu naomba nitofautiine na wewe kidogo.

Vitambulihso ni muhimu sana lakini tatizo ni hata hao wanaovitetea hawajui umuhimu wake.

Ni kwasababu hawajui umuhimu na matumzi wa vitambulisho ndio maaana wanadhani kitambulisho na dafatri la mpiga kura maztumizi yake yake yanaishia kwenye uchaguzi tu.

So serikali imeingia gharama ya kutengeneza dublicate systems ya taarifa za watu nyingine kwa kitu ambacho kingeweza kufanyika kifanisi kwa gharama nafuu chini ya mwamvuli mmoja. hilo tu kwangu ndo naona kosa.


Japo ni vitu tofauti Kitambulisho cha mpiga kura, Passport, na kitambulisho cha taifa vinatakiwa kuwa na uhusiano. kama system za haya mambo hazitaweza kuwa na intergrated ya kushare data no matter how goo one system is haiztakuwa na manufaa makuwba kwa taifa.

Baadae tena tutasikia na Polis wanaazisha mfumo wa uasili wakazi wa mijini. Duplicating the same ting in different name.

So kwa hili la kitambulisho cha taifa mi najiuliza
  • kwa nini hawakufikiria kuboresha kitambulisho cha mpiga kura

Hakuna siyejua umuhimu wa kitambulisho cha kitaifa. Lakini hoja tunayopinga sisi ni kwa nini kitambulisho hicho lazima kifanyika huko Malasya wakati vitambulisho vingine vinafanyika hapa ikiwepo leseni ya udereva?

Matengenezo ya kitambulisho cha uraia si kitu cha pekee ila kinatakiwa kiandaliwe sambamba na namba ya uraia ya kila raia wa Tanzania. Kwa maana hiyo idara ya uzazi na vifo ambayo inatakiwe ina inahakiki namba za uraia wa mtu ifanye kazi na idara za leseni za udereva, vitambulisho vya uraia na vitambulisho vya mpiga kura. Hakuna tofauti kubwa ya matengenezo ya leseni ya udereva na Nationality Identification. Kwa maneno mengine kitambulisho cha utaifa ni sawa tu na non Driving Licence.

Hapa tofauti ya Driving licence na kitambulisho cha urahia ni namba ya pekee kwa kila raia ambayo inatakiwa iwemo kwenye electronic system ya taifa wakati driving license si zote zinakuwa na namba ya uraia na namba zisio za uraia kwa vile kuna wenye leseni za kuendesha magari ambao si raia. Na hata kama namba ya uraia haitaonekana moja kwa moja kwenye kitambulisho cha uraia, vidokezo na namba iliyopo kwenye kitambulisho itasaidia kupata information za mtu kwenye electronic system ya taifa.

Kwa hiyo hakuna ulazima wa kuingia gharama kubwa ya kutafuta kampuni ya nchi za nje kushughulikia vitambulisho ambavyo ni zoezi endelevu kwa muda wote kwani watu wanazaliwa na kufa kila siku na wanahitaji vitambulisho. Kama inawezekana driving license kufanyika hapa nchini kwa nini ishindikane vitambujlisho? Kama inawezekana system yatu kuandaa data nyeti za visa kwa nini tushindwe kwa hili?
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"][/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 11 July 2011 08:56 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeridhishwa na uwezo wa kiteknolojia
alionao mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kutengeneza Vitambulisho vya Taifa.

Hayo yalisemwa jana na timu ya wabunge waliotembelea Kampuni ya Iris Corporation Berhad ya Malaysia, iliyoshinda zabuni ya kutengeneza vitambulisho hivyo walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia ziara hiyo, Mkuu wa msafara huo, Anna Abdallah, alisema serikali imechelewa kutoa Vitambulisho vya Taifa na kwamba sasa lazima iharakishe mchakato huo kwa sababu vina faida nyingi kwa ustawi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tanzania.

"Sisi wabunge tunasema Vitambulisho vya Taifa, lazima vitolewe haraka kwa sababu ni muhimu kutambuana. Huwezi kumtofautisha Mtanzania na watu wa mataifa mengine kwa rangi au sura tu. Lazima tuwe na Vitambulisho vya Taifa," alisema.

"Wenzetu Malaysia wanatoa vitambulisho hata kwa watoto wadogo kwa nini sisi tushindwe," alisema.

Akiizungumzia Kampuni ya Iris alisema, "mi kampuni namba moja duniani katika kutengeneza vitambulisho vya kisasa. Hata mataifa ya Ulaya yanakwenda kujifunza kwa kampuni hiyo. Tutegemee kitu kizuri."

Mbunge wa Mlalo (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu, Hassan Ngwilizi alisema Kampuni ya Iris ina uwezo mkubwa na italisaidia taifa, kutengeneza mfumo wa utambuzi na usajili wa watu na hatimaye kutoa Vitambulisho vya Taifa vyenye ubora wa hali ya juu.

Alisema teknolojia itakayotumiwa kutengeneza vitambulisho ambayo pia imetumiwa na Malaysia ni ya kisasa na kwamba inaweza kuhifadhi taarifa nyingi katika kitambulisho kimoja.

"Wenzetu wamepiga hatua, wameweza kuweka hata hati ya kusafiria katika vitambulisho vyao vya taifa," alisisitiza.

Kwa upande wake, Mbunge wa Maswa (Chadema), John Shibuda, alisema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) inapaswa kuungwa mkono ili ipate fedha na kuanza utekelezaji wa mradi huo.

"Vitambulisho ni mbegu ambayo itazaa matunda mengi, tuiwezeshe Nida ili tuvune
matunda yake haraka. Ni mradi utakaoleta neema kwa sababu ukianza kutekelezwa
ndani ya mwaka mmoja tunaweza kupata zaidi ya trilioni mbili," alisisitiza.

Alisema nchi kama Kenya haitegemei wafadhili, na kwamba inakusanya kodi inatokana na vitambulisho vya taifa.

Wabunge waliozulu Iris Corporation Berhad ni Anna Abdallah (CCM), Brigedia Jenerali mstaafu Ngwilizi (CCM), Hamad Rashid Mohamed
(CUF), Betty Machangu (CCM), Moses Machali (NCCR-Mageuzi), Jasson Rweikiza
(CCM), Rebecca Mngodo (Chadema) na Anastazia Wambura (CCM).

Wengine ni Rachael Mashishanga (Chadema), Mohamed Sanya (CUF), Mussa Hassan Mussa na
John Shibuda (Chadema).

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ilisaini rasmi mkataba na Mkandarasi, Iris
Corporation Berhad ya Malaysia Aprili 21, mwaka huu

Mkataba huu ulitiwa saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha kwa niaba ya Serikali.


Source?: Mwananchi


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hii misukule ya kiafrika ni bogus kabisa. Imefika huko ikapewa hotel nzuri na chakula kizuri baaasi... imebaki kusifia kila kitu. Kulikuwa na umuhimu gani wa kupeleka kundi la wabunge huko? Wameenda hasa kushuhulikia nini? Waafrika bado tuko kwenye stage ya manyani....
 
During Mahathir Muhammad's time he launched a project to race for the new technology, before his retirement he was rewarded by his efforts, the Malaysian scientists inaugurated the smallest, the fastest and most flexible micro chip ever made at that time, the MM 1. Today they have progressed to MM 2 plus. The MM 1 was the chip which made RFID technolgy realise newer applications. To date, the sky is the limit on RFID applications. I guess we made the right move to chose Malaysia as partners in this venture.
 
Bora walivyoenda na wabunge wa vyama vya upinzani. La sivyo, tungeona maandamano.
 
Ni Watanzania wangapi kwa kila mia wanahitaji passport? Na wewe unadhani ukiwa na kitambulisho cha Taifa wataondoa huo ukiritimba wa kupeleka kiapo?

Nimekupa mfano coomon mmoja wa umihimu w akitambulisho jinsi unavyoweza kusaidia kuondoa ukiritimba . mifano ipo mingi. mfano mwingi ni kuwa takwimu sahhii za watu, makazi, umri, populatin densisty.

Ukiwa natakwimu sahii inasia mambo mengi kuplan mambo kitaalama kwa data sahihi.

Ndio ukiwa na kitambulisho cha taifa inatakiwa kutowepo na haja ya kwenda kuapa upata passport. Na sio tu kitambulisho cha taifa ile kuwa tu na kitambulisho cha mpiga kura ingetosha kutomlazimisha mtu kuapa. Au nakosea. Ndio maana nasema kitambulisho cha taifa ni muhimu sema wanasiasa hawajui umuhimu wake.

Wao wanaisisa wanafurahia tenolojia ya kisasa ya bimetric bila kujua itasaidia nini hasa na application zake.
 
Back
Top Bottom