Vitambi vya wanawake vinasababishwa na nini ?

Vitambi vya wanawake vinasababishwa na nini ?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanawake hasa mabinti kuwa na matumbo makubwa sana zaidi hata ya wanaume. Ni aina fulani ya vitambi mning'inio , vinavyoshuka chini hivi.

Tena wanawake wa mikoa ya kaskazini ndo wana matumbo makubwa sana mpaka yanaumiza usiku.

Ni ulaji au madawa dawa yao ?
 
Chukua mfuko wa plastic ukaenao karibu na ndoo ya maji then Anza kuchota yale maji na kumwaga mle kwenye mfuko utaona matokeo yake utaanza kuvimba na kutuna je ulisha wahi kuona binti kigori akiwa na kitambi kama jibu ni hapana basi tambua kwamba maji ya wanaume yameifanya hiyo mifuko itune we unafikiri kukinga huo mzigo zaidi ya miaka 20 what is happen povu ruksa
 
Stress zinasababisha accumulation of fat kwenye tumbo.
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanawake hasa mabinti kuwa na matumbo makubwa sana zaidi hata ya wanaume. Ni aina fulani ya vitambi mning'inio , vinavyoshuka chini hivi.

Tena wanawake wa mikoa ya kaskazini ndo wana matumbo makubwa sana mpaka yanaumiza usiku.

Ni ulaji au madawa dawa yao ?
 
Hebu nisubiri wenzangu wenye vitambi waje watoe ufafanuzi
 
Nimefika Mbeya nimeshangaa wanawake wengi wana vitambi vikubwa utafikiri maafisa wa TRA.
Wao saa kumi na mbili asubuhi mtu tayari kabugia bakuli kubwa la makande na msusa uliochacha.
 
Back
Top Bottom