engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF wenzangu Habari
Ni wakati wa kuungana mikono na kushirikiana ktk biashara sasa
Si kila kitu kitokacho China ni kibaya Ebu angalia mwenyewe hapo pichani
na kama nitakuletea kitambaa kibaya utanirudishia na sitachukuwa PESA yako
Leo nimekuja na biashara nzuri sana kwa ajili ya kina mama na watoto zao,si nyingine ila ni vitambaa maridadi kutoka China,vitambaa hivi ni imara ,havichuji na ni vizito pia na vinadumu kwa mda mrefu sana baada ya kukishona,
kwa mita moja nitakuuzia kwa TSH 7000,BEI NI KARIBU NA BURE
anae hitaji basi tuwasiliane kwa email engmtoleraibrahim@yahoo.com
hii ni kwa ajili ya kuweka oda,kwani vinapatikana kwa oda,simu ya mkononi ni +1815202425864
unaweza kujiridhisha kwa kuangalia picha hapo chini
Ni wakati wa kuungana mikono na kushirikiana ktk biashara sasa
Si kila kitu kitokacho China ni kibaya Ebu angalia mwenyewe hapo pichani
na kama nitakuletea kitambaa kibaya utanirudishia na sitachukuwa PESA yako
Leo nimekuja na biashara nzuri sana kwa ajili ya kina mama na watoto zao,si nyingine ila ni vitambaa maridadi kutoka China,vitambaa hivi ni imara ,havichuji na ni vizito pia na vinadumu kwa mda mrefu sana baada ya kukishona,
kwa mita moja nitakuuzia kwa TSH 7000,BEI NI KARIBU NA BURE
anae hitaji basi tuwasiliane kwa email engmtoleraibrahim@yahoo.com
hii ni kwa ajili ya kuweka oda,kwani vinapatikana kwa oda,simu ya mkononi ni +1815202425864
unaweza kujiridhisha kwa kuangalia picha hapo chini