Mkuu wewe unaijua bibilia kwa lugha gani?Hapa ndo mnapokosea. Pale mnapodhani maswala ya Mungu ni option. Bible ndo manual si9 ya wakristo tu bali kea wote walioumbwa na Mungu.
We jamaa mbna unamitazamo negative sana kila ninapoona umecoment !tatizo nn mzee uelewa umezidi sana kuliko maarifa nn ?Li kitabu lina violence hivyo nani analitaka?
Na pia kwanini biblia tu?Je kuran,je B. Gita,etc?
Dini ina walemaza sana!
Utafikiiri dini inawafanya muwe better human beings wakati infact it is not!
I can be a nice person with no trace of dini of any kind in me!
Hakika sijawahi kuona kitabu cha ajabu kama Biblia na wengine wanaona Biblia kuwa kitabu cha wakristo tu lakini biblia inautajili woteKingine ni biblia amini usiamini ila ukisoma vitabu kadhaa ktk biblia utabadili maisha yako totally
Nikunbushe mida ya SAA Tatu endapo ntasahauNaomba unipatie nakala ya Think and Grow Rich na Possibility Thinking...Mkuu ama unaweza vipost hapa nivipakue plz mkuu