Vita ya Urais yahamia kwa Januari Makamba, Mikakati ya kuiangusha UKAWA yahusishwa

mwobho

JF-Expert Member
Apr 2, 2013
808
352
Vita ya Urais yahamia kwa January .

Kwanza kabisa hongera comred January Makamba kwa kushinda ubunge bila kutumia nguvu kubwa,pamoja na kuwa ulikuwa umejikita zaidi kumvusha Mgombea wa ccm lakini ulishinda ubunge,hii inatoa tafsiri kuonyesha ni kwa kiwango gani unaaminiwa na kukubalika kwa wananchi wako wa Bumbuli.

Tangu wakati wa uchaguzi,pamoja na kuwa wana ccm wengu walipambana kuhakikisha Magufuli anashinda lakini Matusi ,Kejeli,vijembe na kila aina ya lugha ya kuvunja moyo ilitolewa na wapinzani ikimlenga January Makamba.

Ile hali ya wapinzani kumshambulia Mwigulu na Lusinde awamu hii ilihamia kwa January.

Kwanini mashambulizi yawe kwa January?


Baada ya ukawa kuangalia mwelekeo wa kampeni,waliona kila dalili ya kupata ushindi,wana ccm wengi waliishiwa pumzi na kuendelea kufanya siasa za kizamani,lkn kila mara January alikuja na mikakati iliyogeuza upepo.

January alikuwa ndio bingwa wa mikakati ya kutibua kila mbinu ya ukawa.

January ndiye aliepanga advance team ifanye nini ili mkutano ufane.

January ndie alikuwa king of Media kuhakikisha Mgombea wake anapata coverage kubwa.

January alikuwa mtu hatari kwa upinzani.

Lowassa na timu yake waliendelea kuwatumia wana ccm Mamluki waliokuwa ndani ya ccm kuwavujishia juu ya umakini wa January katika kutibua move za Ukawa.

Hatimae Magufuli akashinda,Ukawa bado wanaamini kuwa January Makamba ni mtu aliewakosesha ushindi kwa kutomuunga mkono Lowassa.

Hasira za Ukawa na wafuasi wao sasa kila wakiamka wanamuota January Makamba.

January kaingia kwenye vita kubwa mithili ya mtu aliewakosea sana kuliko hata waliopanda majukwaani na kumkashifu Lowassa.

Ukawa wamekuja na plan B kuhakikisha wanamchonganusha January na viongozi wa ccm.

Kuhakikisha January anakosana na viongozi .

Kubwa zaidi kuhakikisha magufuli anamchukia January ilo apotee kisiasa kisiasa.


Kwa maoni yangu ,pamoja na vijembe matusi na kashfa zinazotengenezwa dhidi ya Kijana
Mwenzangu mwenye matarajio makubwa ya kisiasa.

Bado naamini kuwa ,January ni hazina ya Tanzania,nikijana atakae saidia sana serikali ya awamu ya Tano hasa kipindi ambacho sayansi na teknolojia nimuhimu katika uendeshaji wa serikali.

Wakati ambao niwakizazi cha kuhoji.

Wakati ambao wanatakiwa vijana kuandaliwa kwaajili ya kushika uongozi huko tuendako.
January usikate tamaa,

Ukiona wapinzani wanakulaumu basi ujue upo sahihi,ongeza gia mtoto wa Makamba,wapuuze wote wenye fikra za kukubomoa kisiasa kama kisasi cha kuukosa Urais.

Rais ni John Pombe Magufuli,hutaki hamia Somalia.
 
Amekosa uwaziri mkuu akakasirika na kumtukana boss wake. Anyway hii sijui kama ni kweli lakini kuna rafiki yake alinambia eti aliitwa na kupewa Uwaziri mkuu akaukataa. Sina hakika na habari hii
 
Vita ya Urais yahamia kwa January .

Kwanza kabisa hongera comred January Makamba kwa kushinda ubunge bila kutumia nguvu kubwa,pamoja na kuwa ulikuwa umejikita zaidi kumvusha Mgombea wa ccm lakini ulishinda ubunge,hii inatoa tafsiri kuonyesha ni kwa kiwango gani unaaminiwa na kukubalika kwa wananchi wako wa Bumbuli.

Tangu wakati wa uchaguzi,pamoja na kuwa wana ccm wengu walipambana kuhakikisha Magufuli anashinda lakini Matusi ,Kejeli,vijembe na kila aina ya lugha ya kuvunja moyo ilitolewa na wapinzani ikimlenga January Makamba.

Ile hali ya wapinzani kumshambulia Mwigulu na Lusinde awamu hii ilihamia kwa January.

Kwanini mashambulizi yawe kwa January?


Baada ya ukawa kuangalia mwelekeo wa kampeni,waliona kila dalili ya kupata ushindi,wana ccm wengi waliishiwa pumzi na kuendelea kufanya siasa za kizamani,lkn kila mara January alikuja na mikakati iliyogeuza upepo.

January alikuwa ndio bingwa wa mikakati ya kutibua kila mbinu ya ukawa.

January ndiye aliepanga advance team ifanye nini ili mkutano ufane.

January ndie alikuwa king of Media kuhakikisha Mgombea wake anapata coverage kubwa.

January alikuwa mtu hatari kwa upinzani.

Lowassa na timu yake waliendelea kuwatumia wana ccm Mamluki waliokuwa ndani ya ccm kuwavujishia juu ya umakini wa January katika kutibua move za Ukawa.

Hatimae Magufuli akashinda,Ukawa bado wanaamini kuwa January Makamba ni mtu aliewakosesha ushindi kwa kutomuunga mkono Lowassa.

Hasira za Ukawa na wafuasi wao sasa kila wakiamka wanamuota January Makamba.

January kaingia kwenye vita kubwa mithili ya mtu aliewakosea sana kuliko hata waliopanda majukwaani na kumkashifu Lowassa.

Ukawa wamekuja na plan B kuhakikisha wanamchonganusha January na viongozi wa ccm.

Kuhakikisha January anakosana na viongozi .

Kubwa zaidi kuhakikisha magufuli anamchukia January ilo apotee kisiasa kisiasa.


Kwa maoni yangu ,pamoja na vijembe matusi na kashfa zinazotengenezwa dhidi ya Kijana
Mwenzangu mwenye matarajio makubwa ya kisiasa.

Bado naamini kuwa ,January ni hazina ya Tanzania,nikijana atakae saidia sana serikali ya awamu ya Tano hasa kipindi ambacho sayansi na teknolojia nimuhimu katika uendeshaji wa serikali.

Wakati ambao niwakizazi cha kuhoji.

Wakati ambao wanatakiwa vijana kuandaliwa kwaajili ya kushika uongozi huko tuendako.
January usikate tamaa,

Ukiona wapinzani wanakulaumu basi ujue upo sahihi,ongeza gia mtoto wa Makamba,wapuuze wote wenye fikra za kukubomoa kisiasa kama kisasi cha kuukosa Urais.

Rais ni John Pombe Magufuli,hutaki hamia Somalia.


Umeandika nini sasa mtu
mzima ?
#Magufuli si #Kikwete
 
Kuna mantiki kwa ulichoandika

Ukawa ni watu wa visasi sana. Angalia walivyo mshupalia Dr Mwakyembe

January anaweza kuwa na mapungufu yake na labda asienee vizur kuwa mmoja wa wasaidizi wa karibu wa rais magufuli lakini ukawa wanajulikana kwa visasi hasa hasa yule aliyekuwa mgombea wao wa urais mwaka huu

Kwa miaka na miaka kamg'ang'ania Dr Mwakyembe kama Luba
 
Vita ya Urais yahamia kwa January .

Kwanza kabisa hongera comred January Makamba kwa kushinda ubunge bila kutumia nguvu kubwa,pamoja na kuwa ulikuwa umejikita zaidi kumvusha Mgombea wa ccm lakini ulishinda ubunge,hii inatoa tafsiri kuonyesha ni kwa kiwango gani unaaminiwa na kukubalika kwa wananchi wako wa Bumbuli.

Tangu wakati wa uchaguzi,pamoja na kuwa wana ccm wengu walipambana kuhakikisha Magufuli anashinda lakini Matusi ,Kejeli,vijembe na kila aina ya lugha ya kuvunja moyo ilitolewa na wapinzani ikimlenga January Makamba.

Ile hali ya wapinzani kumshambulia Mwigulu na Lusinde awamu hii ilihamia kwa January.

Kwanini mashambulizi yawe kwa January?


Baada ya ukawa kuangalia mwelekeo wa kampeni,waliona kila dalili ya kupata ushindi,wana ccm wengi waliishiwa pumzi na kuendelea kufanya siasa za kizamani,lkn kila mara January alikuja na mikakati iliyogeuza upepo.

January alikuwa ndio bingwa wa mikakati ya kutibua kila mbinu ya ukawa.

January ndiye aliepanga advance team ifanye nini ili mkutano ufane.

January ndie alikuwa king of Media kuhakikisha Mgombea wake anapata coverage kubwa.

January alikuwa mtu hatari kwa upinzani.

Lowassa na timu yake waliendelea kuwatumia wana ccm Mamluki waliokuwa ndani ya ccm kuwavujishia juu ya umakini wa January katika kutibua move za Ukawa.

Hatimae Magufuli akashinda,Ukawa bado wanaamini kuwa January Makamba ni mtu aliewakosesha ushindi kwa kutomuunga mkono Lowassa.

Hasira za Ukawa na wafuasi wao sasa kila wakiamka wanamuota January Makamba.

January kaingia kwenye vita kubwa mithili ya mtu aliewakosea sana kuliko hata waliopanda majukwaani na kumkashifu Lowassa.

Ukawa wamekuja na plan B kuhakikisha wanamchonganusha January na viongozi wa ccm.

Kuhakikisha January anakosana na viongozi .

Kubwa zaidi kuhakikisha magufuli anamchukia January ilo apotee kisiasa kisiasa.


Kwa maoni yangu ,pamoja na vijembe matusi na kashfa zinazotengenezwa dhidi ya Kijana
Mwenzangu mwenye matarajio makubwa ya kisiasa.

Bado naamini kuwa ,January ni hazina ya Tanzania,nikijana atakae saidia sana serikali ya awamu ya Tano hasa kipindi ambacho sayansi na teknolojia nimuhimu katika uendeshaji wa serikali.

Wakati ambao niwakizazi cha kuhoji.

Wakati ambao wanatakiwa vijana kuandaliwa kwaajili ya kushika uongozi huko tuendako.
January usikate tamaa,

Ukiona wapinzani wanakulaumu basi ujue upo sahihi,ongeza gia mtoto wa Makamba,wapuuze wote wenye fikra za kukubomoa kisiasa kama kisasi cha kuukosa Urais.

Rais ni John Pombe Magufuli,hutaki hamia Somalia.
Makamba unahangaika sana! Sijui ni kwanini unakosa kujiamini? Bado hujifunzi kwa Magufuli? Kwa watu tunaoona mbali ni kwamba hutokaa upewe mikoba ya kuiongoza nchi hii, kuna vijana wapo wengi waliotulia wanajikita katika kuwaletea Wananchi wao maendeleo badala ya kujibaraguza mtandaoni kupost picha chafu. Nani asiyejua kua Matokeo ya ubunge Mbumbuli idadi ya kura ilizidi ya waliojianfikisha! Wizi wa kura ndio ngazi iliyotumika kupandia mlima wa ubunge.
 
hahahahahahahahaha, ka deal na watu wa kitaa uliohakikisha wanapata mb 8.aacha ukilaza
 
Kwa jinsi alivyo ratibu wizi wa kura hata rais jpm hamtaki kwenye baraza lake la mawaziri.
 
Amekosa uwaziri mkuu akakasirika na kumtukana boss wake. Anyway hii sijui kama ni kweli lakini kuna rafiki yake alinambia eti aliitwa na kupewa Uwaziri mkuu akaukataa. Sina hakika na habari hii

Mweeee huyo rafiki yako atakua Thabita wa Passion
 
Huwa naamini katika kimya kuwa ni jibu lenye nguvu sana. Mwanzisha uzi huu anakusudia kumharibia JM badala ya kumjenga au labda anajipendekeza kwa JM japokuwa yawezekana pia kama walivyosema baadhi kwamba ni JM mwenyewe kaanzisha uzi huu katika kujaribu kuona anakumbukwa katika ufalme wa JPM.
 
Back
Top Bottom