Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Wilaya ya Bagamoyo imetangaza operesheni ya kusaka mali za viongozi wa vitongoji, vijiji na watendaji kutokana na baadhi yao kubainika kujipatia mamilioni ya shilingi kwa kuuza ardhi kinyume cha sheria na kuchochea migogoro mingi ya ardhi wilayani humo.