Indiana Pacers
Member
- Feb 26, 2026
- 7
- 17
Jukwaa hili maarufu la nyuzi za kimataifa hasa vita zinazotokea na zilizotokea mmepotezea vita ya Pakistan na Afghanistan?
Mzozo wa Iran na Marekani umeimeza huo mzozo.Jukwaa hili maarufu la nyuzi za kimataifa hasa vita zinazotokea na zilizotokea mmepotezea vita ya Pakistan na Afghanistan?
Wanapigana na kanga waleJukwaa hili maarufu la nyuzi za kimataifa hasa vita zinazotokea na zilizotokea mmepotezea vita ya Pakistan na Afghanistan?
Walijifanya kujitutumua huku wakiwa hawana vifaa vya kisasa vya kijeshi. Wamezoea vita vya zamani vya kupigana na kujificha kwenye mapango jangwani wakati siku hi?I watu wanatumia ndege na drones kwenye mashambulizi. Bado wana mbinu za kizamani watalibanTaliban walitangaza kuwa endapo Israel na Marekani wataishambulia Iran wao watakuwa upande wa Iran. Kabla hawajafanya hivyo wamejikuta wanakula kichapo kutoka kwa wahindi wa Pakistan na hakuna wa kuamulia.