Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,180
- 2,870
Ulipaswa kusema kichwa chake kipo Chadema na msamba wake upo CCM,kwa sababu,binadamu,kama dinassaurs,wana akili mbili; moja ipo juu kichwani na nyingine iko chini karibu na msamba,ina control mambo ya chini.
Binadamu ana akili moja chini,jambo ambalo watu wengi watakumbuka kesho jumamosi asubuhi.
Binadamu ana akili moja chini,jambo ambalo watu wengi watakumbuka kesho jumamosi asubuhi.