Vita vya wazalendo

Kimenuka na kimeumana, hii itakuwa laana ya kumpiga mangumi yule mzee wa heshima kule ubungo
 

Hivi Paul Makonda umefika kisongo japo kumjulia hali aliyekuwa mzalendo mwenzio?

Kwani hata ni siri basi? Wewe, Sabaya na mwendazake (si kwa wachache) nyote mlikuwa majambazi ya kutumia silaha tu.

Bahati yenu yule jamaa aliahirisha kuny* kaburini juu, japo alikuwapo kuzima mwenge 😁😁.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…