Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,139
- 88,800
Kuna wapenzi wa mini vans kwa matumizi ya familia, biashara (private/special hire) au misele mjini.
Hizi nyingi zina seat 7 kwa configuration ya 2 + 3 + 2, na milango mitano. Ni spacious, kwa abiria na zina boot kubwa kwa mizigo. Pia zinakua na nguvu ya kutosha kabisa kuhandle uzito wa abiria na mizigo yao.
Leo naomba tuziongelee tano na kwa aliewahi kua na experience nazo anaweza toa ushahidi au kama una mtazamo wa kuimiliki siku unaweza changia pia.
1. Toyota Noah / Voxy / Esquire
Noah family ndio mini van maarufu sana Tanzania. Tumeona zinatumika sana kubeba abiria kuanzia mijini na vijijini, pia ni reliable roho ya paka na rafiki kwenye ulaji wa mafuta.
Noah ndio basic, Voxy ni sport version ya Noah wakati Esquire (ila ipo discontinued ) ni luxury version ya Noah, ila vingine engine na trans wanashare components nyingi.
Noah ina generation nne, ya kwanza kabisa ni ya mwaka 2001 ina option moja tu ya engine ya 2.0L 1AZ na trans either automatic ya 4-gears au CVT.
Generation ya pili ilianza 2007, yenyewe ina engine 2.0L 3ZR na CVT transmission tu.
Generation ya tatu ilianza 2014 kukiwa na 3ZR ya 2.0L engine na CVT transmission, ila ikaongezwa na hybrid ya 2ZR yenye 1.8L engine na eCVT transmission.
Ya nne ya mwaka 2022 ina engine ya 2.0 M20A au 1.8 2ZR hybrid.
2. Toyota Alphard /Vellfire
Bila maneno, hii pia ni best mini van na imependwa sana Tanzania. Hii ni luxury zaidi uku swala la fuel efficiency ikiwa sio case yake ingawa wana hybrid version, bado sio efficiency sana.
Generation ya kwanza ya Alphard (AH10) ilianza 2002 hadi 2008. Ilikua na 2.4L i4 engine, 2.4L hybrid na 3.0L V6 engine, na eCVT au automatic transmissions.
Second generation (AH20) ya 2008 - 2015 yenyewe ilikua na engine ya 2.4L, 3.5 V6 engine na 2.4L hybrid zikija na 6 speed, 7 speed na eCVT transmission.
Kimuonekano Gen ya kwanza na ya pili hazikupishana sana wengine wanasemaga gen 2 ni kama 1.5 version tu.
Generation ya tatu AH30 (2015 - 2023) ilikua na mabadiriko makubwa kimuonekano ndani na nje na kwenye engine.
Kwa engine ilikuja na 2.5L 2AR, na 3.5L 2GR V6, na 2.5L 2AR hybrid. Pia ilikuja na either transmission ya 6 speed, 7 speed, 8 speed au eCVT.
Generation ya nne (AH40) ni latest zaidi, ni ya mwaka 2023 - hadi sasa. Hii kidogo ilitoka kwenye kundi la “Alphard” kwasababu wamechukua platform (chasis) ya Lexus LM MVP ambazo ni luxurious department ya Toyota.
Hii ina engine za 2.4L na 2.5L pia zipo hybrid na plugin hybrid engines, zote i4 wameachana na V6. Pia transmission ni mbili tu, 8 speed na eCVT kwa hybrids.
3. Honda Step WGN
Honda Step WGN sio maarufu sana Tanzania, ila kwa nchi ya Japan ni moja ya best selling mini van. Hii ina generation zaidi ya 6, kuanzia mwaka 1996 hadi leo.
Honda Step WGN ni cheaper, ila sio luxury kama Alphard wala siwezi sema ni reliable kuzidi Toyota Noah ila ni reliable sana.
Generation ya tano na ya sita ndio zinazovutia zaidi. Zinakuja na engine ndogo za 1.5L, 1.5L turbo, 2.0L na hybrids zake wakati transmission ni CVT.
4. Nissan Serena & Elgrand
Nissan Serena na luxury /premium yake Elgrand nazo ni best selling mini vans. Zina generations zaidi ya sita kuanzia mwaka 1991 hadi leo.
Kuna engine options za aina nyingi kuanzia 1.2L, 1.4L, 1.5L, 2.0L na 2.5L zikiwa na technology mbalimbali kuanzia normal hybrid hadi e-power.
Mchawi ni CVT transmission ya Nissan, haina reputation nzuri sana ila sio case ya leo.
5. Honda Odyssey & Freed
Honda Odyssey sio gari ya kuiona kila siku hapa Tanzania, ila ni moja kati ya best car mini van kuuzwa Japan. Ina generation zaidi ya nne, ila latest ni ya kuanzia 2013 na ndio ambayo mtu unaweza inunua ata bei yake sio ya moto sana.
Honda Freed yenyewe ina generation tatu tu, kuanzia 2008 hadi leo.
Ipi chaguo lako, generation (mwaka upi)?
Kwa upande wangu, nimeipenda sana Honda Step WGN especially 6th generation 2022 - hadi sasa.
Engine zipo za cc 2000 ambazo ni hybrid (e:HEV) na zipo za cc 1500 sio hybrid.
Inamuonekano mzuri ndani na nje, engine reliable (LFA ya Hybrid ndio imetumika kwenye hybrids za Accord, CR-V, ZR-V, Civic, Prelude etc, kwahiyo ni engine ambayo imefanyiwa manoresho mengi) na transmission CVT ya Honda ni reliable ukifananisha na wengine.
Hizi nyingi zina seat 7 kwa configuration ya 2 + 3 + 2, na milango mitano. Ni spacious, kwa abiria na zina boot kubwa kwa mizigo. Pia zinakua na nguvu ya kutosha kabisa kuhandle uzito wa abiria na mizigo yao.
Leo naomba tuziongelee tano na kwa aliewahi kua na experience nazo anaweza toa ushahidi au kama una mtazamo wa kuimiliki siku unaweza changia pia.
1. Toyota Noah / Voxy / Esquire
Noah family ndio mini van maarufu sana Tanzania. Tumeona zinatumika sana kubeba abiria kuanzia mijini na vijijini, pia ni reliable roho ya paka na rafiki kwenye ulaji wa mafuta.
Noah ndio basic, Voxy ni sport version ya Noah wakati Esquire (ila ipo discontinued ) ni luxury version ya Noah, ila vingine engine na trans wanashare components nyingi.
Noah ina generation nne, ya kwanza kabisa ni ya mwaka 2001 ina option moja tu ya engine ya 2.0L 1AZ na trans either automatic ya 4-gears au CVT.
Generation ya pili ilianza 2007, yenyewe ina engine 2.0L 3ZR na CVT transmission tu.
Generation ya tatu ilianza 2014 kukiwa na 3ZR ya 2.0L engine na CVT transmission, ila ikaongezwa na hybrid ya 2ZR yenye 1.8L engine na eCVT transmission.
Ya nne ya mwaka 2022 ina engine ya 2.0 M20A au 1.8 2ZR hybrid.
2. Toyota Alphard /Vellfire
Bila maneno, hii pia ni best mini van na imependwa sana Tanzania. Hii ni luxury zaidi uku swala la fuel efficiency ikiwa sio case yake ingawa wana hybrid version, bado sio efficiency sana.
Generation ya kwanza ya Alphard (AH10) ilianza 2002 hadi 2008. Ilikua na 2.4L i4 engine, 2.4L hybrid na 3.0L V6 engine, na eCVT au automatic transmissions.
Second generation (AH20) ya 2008 - 2015 yenyewe ilikua na engine ya 2.4L, 3.5 V6 engine na 2.4L hybrid zikija na 6 speed, 7 speed na eCVT transmission.
Kimuonekano Gen ya kwanza na ya pili hazikupishana sana wengine wanasemaga gen 2 ni kama 1.5 version tu.
Generation ya tatu AH30 (2015 - 2023) ilikua na mabadiriko makubwa kimuonekano ndani na nje na kwenye engine.
Kwa engine ilikuja na 2.5L 2AR, na 3.5L 2GR V6, na 2.5L 2AR hybrid. Pia ilikuja na either transmission ya 6 speed, 7 speed, 8 speed au eCVT.
Generation ya nne (AH40) ni latest zaidi, ni ya mwaka 2023 - hadi sasa. Hii kidogo ilitoka kwenye kundi la “Alphard” kwasababu wamechukua platform (chasis) ya Lexus LM MVP ambazo ni luxurious department ya Toyota.
Hii ina engine za 2.4L na 2.5L pia zipo hybrid na plugin hybrid engines, zote i4 wameachana na V6. Pia transmission ni mbili tu, 8 speed na eCVT kwa hybrids.
3. Honda Step WGN
Honda Step WGN sio maarufu sana Tanzania, ila kwa nchi ya Japan ni moja ya best selling mini van. Hii ina generation zaidi ya 6, kuanzia mwaka 1996 hadi leo.
Honda Step WGN ni cheaper, ila sio luxury kama Alphard wala siwezi sema ni reliable kuzidi Toyota Noah ila ni reliable sana.
Generation ya tano na ya sita ndio zinazovutia zaidi. Zinakuja na engine ndogo za 1.5L, 1.5L turbo, 2.0L na hybrids zake wakati transmission ni CVT.
4. Nissan Serena & Elgrand
Nissan Serena na luxury /premium yake Elgrand nazo ni best selling mini vans. Zina generations zaidi ya sita kuanzia mwaka 1991 hadi leo.
Kuna engine options za aina nyingi kuanzia 1.2L, 1.4L, 1.5L, 2.0L na 2.5L zikiwa na technology mbalimbali kuanzia normal hybrid hadi e-power.
Mchawi ni CVT transmission ya Nissan, haina reputation nzuri sana ila sio case ya leo.
5. Honda Odyssey & Freed
Honda Freed yenyewe ina generation tatu tu, kuanzia 2008 hadi leo.
Ipi chaguo lako, generation (mwaka upi)?
Kwa upande wangu, nimeipenda sana Honda Step WGN especially 6th generation 2022 - hadi sasa.
Engine zipo za cc 2000 ambazo ni hybrid (e:HEV) na zipo za cc 1500 sio hybrid.
Inamuonekano mzuri ndani na nje, engine reliable (LFA ya Hybrid ndio imetumika kwenye hybrids za Accord, CR-V, ZR-V, Civic, Prelude etc, kwahiyo ni engine ambayo imefanyiwa manoresho mengi) na transmission CVT ya Honda ni reliable ukifananisha na wengine.