Vita vya kuisoma namba havijamuacha David Beckham

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
297,834
1,163,804
18722478_443068139372250_3368322823373193216_n.jpg
 
Naona sasa wabongo wanaanza kuwadiss wenye rangi ya Nguruwe safi sana !!!!
 
Kwani amekuja kuwatangaza nyie au kutalii binafsi?!

Ni lini mtaacha kuwa wajinga na wapumbav.u?! Jitangazeni wenyewe.
 
Duh wabongo buana wanadhani kila mtu ni misifa kama wao, unakuta mtu kaingia sehemu kwa mfano beach utakuta kapost picha kibao niko beach acheni ushamba
 
Privace ya mtu lazima iheshimiwe.. Siyo kila mtu anapenda afahamike kila anapoenda.. Wabongo acheni ushamba..
 
wabongo wamezingua utadhani walimlipa hela ya promo akakataa kuitaja hiyo serengeti
 
Back
Top Bottom