Tena shombo la sangara hasaaaaDuh wabongo wana maneno ya shombo.
Mkuu.....Naona sasa wabongo wanaanza kuwadiss wenye rangi ya Nguruwe safi sana !!!!
Ha ha haa.mtu kaja kula zake bata na familia yake,wabongo wanaleta upashkuna wao na majungu.pambaneni na hali zenu hukoKwani amekuja kuwatangaza nyie au kutalii binafsi?!
Ni lini mtaacha kuwa wajinga na wapumbav.u?! Jitangazeni wenyewe.