Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

we lofa tulia unadhani unavyolelewa Na shemeji yako basi wote tuko hivyo. Tuliza kijambio hicho
 
Kweli mkuu..
 
Kamanda hongera nimesoma hii post mpaka machozi yamenitoka hongera umalitendea vyema taifa hongera sana
 
we jamaa umemsahau brigedia James Luhanga ambaye aliongoza kikosi cha Mizinga
 
Kama naona CHUCK NORRIS wa Tanzania
 
RIP Kaka Sijui kama uliweza kutimiza lengo lako?
 
Habari nzuri sana hii. ni Historia MURUA. Nasi tukiwa Praimari wakati huo tuliimba:
Mashujaa twawaimba ni ndugu yetu Twalipo,
na Ndugu Simba Marwa (pia Mayunga),
na ndugu wanajeshi wote Twawapongeza
Kushika usukani mpaka Mwisho.
Chorus: Solo: Waliongoza
Wote: Vikosi mbalimbali
Solo: Kwa ushujaaa
Wote: hadi kuleta ushindi
Solo: Twashukuru
Wote: Kukomboa nchi yetu
Kwa Kumshinda ADUI,
Kwa hivi sasa Uganda,
Imekuwa nchi Huyu,
Tunawashukuru sana, Wana wa nchi..
 
Sio Huyu Echolima!

Ila ni Bwana mmoja anaitwa [HASHTAG]#MwanaHaki[/HASHTAG] Ndiye ambaye nimestushwa sana kuona Status yake imeandikwa RIP.
Aisee RIP MwanaHaki.

Tatizo Echolima nae anauweka sana pia. Utafikiri anaandika kwa pencil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…