Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,359
Phase iliyopita ilikua ni phase 3 now 4. Avge of ultron ipo phase 2
Joss whedon mwenyewe anasema yeye ni workholic akianza kazi kaanza ndio maana Cast ya Justice League akiwemo Josson momoa,Ray fisher, Gal gadot wamekua wakimtuhumu kua anawafanyia harassment wanapokua kwenye kuigiza.
But kwakweli Avangers an Ultron ni muvi amabazo Joss kazisuka vyema kuanzia directing hadi dialogue (screenplay)
Nadhani kinachomchosha ni kwakua hua anadirect na kuandika mwenyewe script
Phase 2 yote yeye alikua kama Consultant Director ndio maana kuanzia Thor dark world,Winter soldier,First avenger, Thor zote kuna mkono wake
Hapana Ule upanga alioushika Dane Whitman kwenye Comics pia hua unatoa sauti na sio yeye pekee aliyewahi kuutumia. Wamefanya twisting kumu introduce Blade lakini pia mbona muvi ya balde ipo Kwenye development muda mrwfu tu sema tu kumyo Merhashala ali hakuna actors wengine waliokua confirmed. Btw naona instructions iliyomo kwenye eternal ni ya mdogo wake thanos pekee Eros starfox
DC upande wa film inabidi wafanye transformation kubwa sana kuanzia huko kwenye parent company WB.
X men soon wanaingia MCU ndio maana mwendelezo wa Xmen movies umesitishwa ili character warudi nyumbani tumeanza na Deadpool na Fantastic 4
Hua sipo excited na muvi za DC na sababu kuu ni Warner Bros ndio wanawavurugia creativity team ya Zack Snyder. Ngoja tuone labda inaweza kua much interesting kama Aquaman
Age of Ultron ilisukwa aisee binafsi nilikubali humor ya mle hasa hasa ultron... alikuwa ana maneno flan hivi utafikiri sio AI

Vile ana personality ya stark mambo yakazid kuwa matamu.
Nilipenda hii quote
“As I always say, keep your friends rich and enemies rich and wait to find out which is which.”
Zack Snyder sio mwenye sauti kuu DC ni kiongozi kwenye upande wa creativity yaani DCEU. Warner bros ndio wenye sauti na ndio wanasababisha kufeli kwa DC kwakua hawampi full control ya creativity Zack Snyder. Na muvi za DC hua haziigizwi usiku bali ni tone Color tu walio ichagua DC ili kuweka radha tofauti.
Marvel ilikua haina hela kabisa miaka ya 90 huko so ilikua inauza baadhi ya characters wake ili kuendesha Kampuni. Mfano iliuza Spiderman na Venom kwa kampuni ya Sony, ikauza XMen na Fantastic four kwa 21th Fox yaani marvel inapata kitu kama asilimia 10% tu kwenye mauzo ya hao characters. Mwaka 99 Marvel ilitoa muvi ya Blade hii muvi iliuza kiasi chake na hii ndio pesa zilizopatikana ziliwezesha kuanzisha marvel studio mwaka 2007. Kama kawaida Disney ni wazee wa kunusa hela tu kama walivyoinusa kampuni ya Pixar animation wakaichukua hivyo basi mwaka 2009/10 Disney rasmi iliinunua Marvel studios so Marvel character wote wapo chini ya Disney. Hivyo Boss wa Marvel anapokea naelekezo kutoka kwa CEO wa Disney ambae ni Bob Igler. Disney wenyewe wanachohusika kwenye Marvel studio movies wanakua kama wasambazaji (Distributor)
