Vita inanukia South Sudan

Kutatulia tu kama viongozi wa afrika wakiacha porojo. Huyo Bashir sasa nafikiri afrika tumchukulie hatua, siye tunajua kwamba south sudan imeshajitenga, na mpaka unaeleweka sasa vita ya nini tena?
 
Kwa Bashir na Ghadhafi hatua za haraka zitachukuliwa dhidi yao.Mambo kama haya hatuyaoni kwa Mexico wala Korea ya Kaskazini.
Mimi nadhani Bashir awe mwiba kama Ghadhafi na Bashar kutetea wanachoona kina manufaa kwa watu wao.
 
huu ni wakati mzuri kwa south sudan na rebels wa dafur kumarch mpaka khartoum kumng'oa huyu dikteta bashir.
 
Majeshi ya north sudan yamechukua mji wa abyei, south sudan wanasema hii ni declarion of war.

Can North sudan fight the darfurians and south sudan at the same time/

This might be the end of bashir.

BBC News - Sudan: Abyei seizure by North 'act of war', says South



Sudan: Abyei seizure by North 'act of war', says South

_52883269_jex_1052748_de27-1.jpg






South Sudan is due to become independent in July, but Abyei is still claimed by both sides

Continue reading the main story Sudan: Set for divorce



South Sudan has denounced as an act of war the takeover by North Sudan forces of the contested border town of Abyei.
A southern military spokesman told the BBC the North had attacked the area with 5,000 troops, killing civilians and southern soldiers.
South Sudan is due to become independent in July, but Abyei's status remains to be determined after a referendum on its future was shelved.
The UN has called for an end to fighting between the two sides.
Some 20,000 people, almost the whole population of the town, have fled, aid agency Medecins Sans Frontieres (MSF) has told the BBC.
Spokesman Raphael Gorgeu said residents had moved to Agok, about 45km (28 miles) south of Abyei, and were fleeing further south.
He said 42 people wounded in the fighting in Abyei had been treated at a local MSF hospital.
The seizure of Abyei followed two days of skirmishes, artillery fire and at least one air raid.
Continue reading the main story
_49523943__49476474_sudan_abyei304-1.gif



A UN Security Council mission is in the capital, Khartoum, and was due to visit Abyei on Monday, but this has now been cancelled.
The BBC's James Copnall in Khartoum says that in a clear demonstration of who is now in charge of Abyei, President Omar al-Bashir issued a decree dismissing the region's administration.
Abyei had been governed by a joint body comprising northerners and southerners, led by a southerner.
The security council will undoubtedly raise this, and the surprise northern military action, in its meetings on Sunday with senior northern officials, including the Vice-President Ali Osman Taha, our correspondent says.
Southern military spokesman Col Philip Aguer said the North had committed an aggression, and called for the international community to step in.
"If the international community do not intervene quickly to rescue the situation then this is a complete violation of the comprehensive peace agreement, a complete violation of the ceasefire, and it is a declaration of war by Khartoum," he told the BBC.
Southern 'ambush' criticised
The North says it acted after 22 of their men were killed in a southern ambush on Thursday.
Continue reading the main story


Analysis

_48444396_006063795.jpg
James Copnall BBC News, Khartoum
This is a convincing northern military victory, making use of its greater resources.
The key question now is whether the North has, in seizing Abyei, fulfilled its objective.
A northern General, Ahmed Abdalla, told the BBC his men would go up to the river at the south of the region of Abyei.
If this is the case, the North will have de facto control over Abyei.
But southerners must be nervous that this is the start of a larger attack.
Some of the South's most valuable oil fields are just over the border from Abyei.
The UN Security Council is in Sudan, and will surely make it clear no-one wants a new north-south war.
But these are dangerous times in Sudan.

The UN said the northern troops who were ambushed were being escorted out of Abyei by UN peacekeepers.
UN officials described the incident as "a criminal attack" and the US called on South Sudan to "account" for the assault.
Washington said the attack was "in direct violation" of the agreement signed by the north and south in January to "remove all unauthorised forces" from Abyei.
South Sudanese forces denied responsibility for the incident.
Tension over Abyei - claimed by a southern group, the Dinka Ngok, and northern nomads, the Misseriya - has been rising since a referendum on its future scheduled for January was postponed.
Since then there have been fears clashes in Abyei could spark a new North-South war, which this latest incident will do nothing to dispel, our correspondent says.
Under a 2005 north-south peace deal, which ended 22 years of civil war, Abyei was granted special status and a joint north-south administration set up in 2008.
 
Ifuatayo ni taarifa ya chombo cha habari kikaragosi cha madhalim-Aljazeera

Omar Hassan al-Bashir, the president of Sudan, has said that Abyei belongs to the north and that his forces will not withdraw from the disputed region.
"Abyei is northern Sudanese land," Bashir said in a speech in the capital Khartoum on Tuesday. "We will not withdraw from it."
He said he had given the green light to the northern army to respond to any possible "provocation" by the army of south Sudan which also claims the region and plans to become independent on July 9.
The latest remarks marked a dramatic shift from his earlier statement that a "peaceful resolution" for Abyei would be found.
Northern forces took control of Abyei by moving tanks into the main settlement on the weekend after weeks of tensions, forcing tens of thousands to flee and sparking an international outcry.
Southern officials on Monday accused the north of trying to provoke a new civil war. Sudan's last north-south civil war ended in a 2005 peace deal that allowed southerners to vote overwhelmingly for independence in a referendum in January.
The deal also promised Abyei residents their own referendum over whether to join the north or south, but that never took place as neither side could agree who was qualified to vote
Bashir says Abyei belongs to the north - Africa - Al Jazeera English

Jana katika pita pita yangu nilikutana na harakati kubwa ya wanajeshi wa Tanzania wakijiandaa kwenda uwanja wa mapambano Sudan.Nani anawapeleka na wanakwenda kupigana na nani ambaye ana uadui na Tanzania.Jee Albashir ni adui wa Tanzania kama alivyo kwa US na washirika wake?.
 
Leo tena kulingana na Aljazeera helkopta nne za UN zimeshambuliwa na wanamgambo wanaoungwa mkono na serikali ya Kaskazini-yaani Albashir.Hakuna helkopta iliyoanguka kwa vile marubani wake walifanikiwa kuzituwa salama.Hii ni sawa na ule msafara wa magari ya ubalozi wa Marekani yaliyoshambuliwa juzi kule Pakistan lakini waliokufa ni wapita njia wa kawaida wa kipakistan.
 
Ifuatayo ni taarifa ya chombo cha habari kikaragosi cha madhalim-Aljazeera

Omar Hassan al-Bashir, the president of Sudan, has said that Abyei belongs to the north and that his forces will not withdraw from the disputed region.
"Abyei is northern Sudanese land," Bashir said in a speech in the capital Khartoum on Tuesday. "We will not withdraw from it."
He said he had given the green light to the northern army to respond to any possible "provocation" by the army of south Sudan which also claims the region and plans to become independent on July 9.
The latest remarks marked a dramatic shift from his earlier statement that a "peaceful resolution" for Abyei would be found.
Northern forces took control of Abyei by moving tanks into the main settlement on the weekend after weeks of tensions, forcing tens of thousands to flee and sparking an international outcry.
Southern officials on Monday accused the north of trying to provoke a new civil war. Sudan's last north-south civil war ended in a 2005 peace deal that allowed southerners to vote overwhelmingly for independence in a referendum in January.
The deal also promised Abyei residents their own referendum over whether to join the north or south, but that never took place as neither side could agree who was qualified to vote
Bashir says Abyei belongs to the north - Africa - Al Jazeera English

Jana katika pita pita yangu nilikutana na harakati kubwa ya wanajeshi wa Tanzania wakijiandaa kwenda uwanja wa mapambano Sudan.Nani anawapeleka na wanakwenda kupigana na nani ambaye ana uadui na Tanzania.Jee Albashir ni adui wa Tanzania kama alivyo kwa US na washirika wake?.

Kama vita ya wenyewe kwa wenyewe itazuka huko Sudan itakuwa vita mbaya sana kwani itawaingiza wengi ambao hawahusiki moja kwa moja. Uganda haitakaa kimya na kumuachia Bashir awashambulie hawa jamaa wa South; na ndio maana Museveni hivi karibuni ametenga kiasi kikubwa sana cha pesa za kununulia silaha. Tanzania pia inaweza kujikuta inaingia kwenya vita hivyo kutokana na mikataba ya ulinzi ya nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki, hivyo basi hao askari uliowaona wakifanya mazoezi inawezekana kabisa wanajitayalisha iwapo mambo yataharibika na wao kuhitajika kwenda kwenye frontline!!
 
Kama vita ya wenyewe kwa wenyewe itazuka huko Sudan itakuwa vita mbaya sana kwani itawaingiza wengi ambao hawahusiki moja kwa moja. Uganda haitakaa kimya na kumuachia Bashir awashambulie hawa jamaa wa South; na ndio maana Museveni hivi karibuni ametenga kiasi kikubwa sana cha pesa za kununulia silaha. Tanzania pia inaweza kujikuta inaingia kwenya vita hivyo kutokana na mikataba ya ulinzi ya nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki, hivyo basi hao askari uliowaona wakifanya mazoezi inawezekana kabisa wanajitayalisha iwapo mambo yataharibika na wao kuhitajika kwenda kwenye frontline!!

Mimi ninavyoelewa ubaya wote huo unatokana na mikakati endelevu ya vita dhidi ya uislamu.Kwa Afrika taifa la Sudan ni mfano wa kuigwa wa maendeleo ya elimu ya kiislamu.Athari yake imekuwa ikivuka mipaka kwa kasi na hasa kuendea kusini.Lengo la mwanzo la kuigawa Sudan na kuweka kuzuizi cha kusini limefanikiwa kwa kutumia vyombo vya habari vilivyoupa sura mbaya sana mgogoro wa kusini ya Sudan.Haikuchukuliwa kwamba ni matatizo ya ndani ya Sudan ambayo wenyewe walikuwa wakiyatatua kwa vizuri.Huu mgogoro ulifanywa ni wa dunia.
Serikali ya Albashir ilidhani kwa kuruhusu kura ya maoni iliyokuwa huru kwa upande wake lakini na uchochezi mwingi wa maadui wa uislamu kwa wasudan wa kusini ilidhani ndio mambo yangetulia lakini ndio kwanza wanaandamwa.
Kila utakalofanya kuwaridhisha mabeberu haitakuwa vyema.Angalia yanayoendelea Libya hata Ghadafi angesema na kufanya nini mkakati wa kuiteka na kuikalia Libya usingesimama.Hivyo hivyo kwa Pakistan ushirikiano wote iliyotoa kwa US eti kumtafuta Osama kwa miaka 10 wala haikuwa ni wema bali wamejimaliza wenyewe na kuiua dini yao wenyewe.Sasa hivi Pakistan si lolote na Marekani iko mbioni kumuweka mtu wamtakae na zuzu zaidi kuliko Asif Zardai kuua nguvu ya nyuklia ya Pakistan. Hayo yakitendeka huku aliyekuwa adui wa Pakistan-India akiwa tayari ana mikataba madhubuti ya kijeshi iliyo dhidi ya Pakistan.
Hakuna sababu yoyote ya Tanzania kupeleka jeshi Sudan ya kusini kupigana na kaskazini isipokuwa ni ushirika wake wa siri na US na NATO kufanikisha malengo yao.
 
Ifuatayo ni taarifa ya chombo cha habari kikaragosi cha madhalim-Aljazeera

Omar Hassan al-Bashir, the president of Sudan, has said that Abyei belongs to the north and that his forces will not withdraw from the disputed region.
"Abyei is northern Sudanese land," Bashir said in a speech in the capital Khartoum on Tuesday. "We will not withdraw from it."
He said he had given the green light to the northern army to respond to any possible "provocation" by the army of south Sudan which also claims the region and plans to become independent on July 9.
The latest remarks marked a dramatic shift from his earlier statement that a "peaceful resolution" for Abyei would be found.
Northern forces took control of Abyei by moving tanks into the main settlement on the weekend after weeks of tensions, forcing tens of thousands to flee and sparking an international outcry.
Southern officials on Monday accused the north of trying to provoke a new civil war. Sudan's last north-south civil war ended in a 2005 peace deal that allowed southerners to vote overwhelmingly for independence in a referendum in January.
The deal also promised Abyei residents their own referendum over whether to join the north or south, but that never took place as neither side could agree who was qualified to vote
Bashir says Abyei belongs to the north - Africa - Al Jazeera English

Jana katika pita pita yangu nilikutana na harakati kubwa ya wanajeshi wa Tanzania wakijiandaa kwenda uwanja wa mapambano Sudan.Nani anawapeleka na wanakwenda kupigana na nani ambaye ana uadui na Tanzania.Jee Albashir ni adui wa Tanzania kama alivyo kwa US na washirika wake?.
Acha ujinga wewe. Hujui kwamba Tanzania ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa na inatakiwa kurespond kwa maombi yoyote ya UM kama haya ya kupeleka maaskari wake huko Sudani? Jambo hilo liko wazi na halivunji sheria wala katiba ya nchi yetu wala ya Sudani ambayo nayo ni mwanachama anayepaswa kutii maelekezo ya UM yenye jukumu la kuzuia uhalifu dhidi ya ubinadamu kama huu wa kuvamia, kuua na kuharibu mali ya raia wasio na hatia.
 
Kwa Bashir na Ghadhafi hatua za haraka zitachukuliwa dhidi yao.Mambo kama haya hatuyaoni kwa Mexico wala Korea ya Kaskazini.
Mimi nadhani Bashir awe mwiba kama Ghadhafi na Bashar kutetea wanachoona kina manufaa kwa watu wao.
Una maana na South Sudan wawe mwiba watetee chao? Kwanini umeona North ndiyo wenye haki? Sababu ya Uarabu au?
 
Usiwe na wasiwasi Mkuu. Wakimmaliza Ghadaff, wanakuja kwa Al Bashir....

Sasa sijui Libya ni mpaka upi wanaweka kuzuia Uislaam? Mbona mwenzetu tayari umeshakuwa Muislaam?

Wakati Osama anashambulia Kenya na Tanzania, alikuwa akiishi Sudan. Hata kama ungelikuwa ni wewe na una uwezo wa nchi za NATO, ungelifanya hivyohivyo. Ila maadam unafikiria elimu hiyo itakufanya upambane na USA/NATO, basi subiri uone Osama mwingine mwili wake ukilishwa Samaki huko baharini......

Ahh, by the way, Wachina wameshachoshwa na utekaji Meli unaofanywa na Wasomali. Wameanza kupanga/kufikiria uwezekano wa kuivamia nchi nzima na kuweka adabu. Pesa wanayo, watu wanao na mkiwauwa ndiyo kwanza wanashukuru maana mnawapunguzia idadi ya watu. Nia ya kufanya hivyo wanayo na sababu wanayo maana Meli zao zilizoshiba bidhaa, zinakwama kwenda na kutoka China. Subiri sasa uone KIBANO kitakachoshuka maana kwa ukatili, hivi vijamaa havijambo. Vitahakikisha kama ikibidi, vinauwa hadi MIJUSI ya Somalia......
Mimi ninavyoelewa ubaya wote huo unatokana na mikakati endelevu ya vita dhidi ya uislamu.Kwa Afrika taifa la Sudan ni mfano wa kuigwa wa maendeleo ya elimu ya kiislamu.Athari yake imekuwa ikivuka mipaka kwa kasi na hasa kuendea kusini.Lengo la mwanzo la kuigawa Sudan na kuweka kuzuizi cha kusini limefanikiwa kwa kutumia vyombo vya habari vilivyoupa sura mbaya sana mgogoro wa kusini ya Sudan.Haikuchukuliwa kwamba ni matatizo ya ndani ya Sudan ambayo wenyewe walikuwa wakiyatatua kwa vizuri.Huu mgogoro ulifanywa ni wa dunia.
Serikali ya Albashir ilidhani kwa kuruhusu kura ya maoni iliyokuwa huru kwa upande wake lakini na uchochezi mwingi wa maadui wa uislamu kwa wasudan wa kusini ilidhani ndio mambo yangetulia lakini ndio kwanza wanaandamwa.
Kila utakalofanya kuwaridhisha mabeberu haitakuwa vyema.Angalia yanayoendelea Libya hata Ghadafi angesema na kufanya nini mkakati wa kuiteka na kuikalia Libya usingesimama.Hivyo hivyo kwa Pakistan ushirikiano wote iliyotoa kwa US eti kumtafuta Osama kwa miaka 10 wala haikuwa ni wema bali wamejimaliza wenyewe na kuiua dini yao wenyewe.Sasa hivi Pakistan si lolote na Marekani iko mbioni kumuweka mtu wamtakae na zuzu zaidi kuliko Asif Zardai kuua nguvu ya nyuklia ya Pakistan. Hayo yakitendeka huku aliyekuwa adui wa Pakistan-India akiwa tayari ana mikataba madhubuti ya kijeshi iliyo dhidi ya Pakistan.
Hakuna sababu yoyote ya Tanzania kupeleka jeshi Sudan ya kusini kupigana na kaskazini isipokuwa ni ushirika wake wa siri na US na NATO kufanikisha malengo yao.
 
Usiwe na wasiwasi Mkuu. Wakimmaliza Ghadaff, wanakuja kwa Al Bashir....

Sasa sijui Libya ni mpaka upi wanaweka kuzuia Uislaam? Mbona mwenzetu tayari umeshakuwa Muislaam?

Wakati Osama anashambulia Kenya na Tanzania, alikuwa akiishi Sudan. Hata kama ungelikuwa ni wewe na una uwezo wa nchi za NATO, ungelifanya hivyohivyo. Ila maadam unafikiria elimu hiyo itakufanya upambane na USA/NATO, basi subiri uone Osama mwingine mwili wake ukilishwa Samaki huko baharini......

Ahh, by the way, Wachina wameshachoshwa na utekaji Meli unaofanywa na Wasomali. Wameanza kupanga/kufikiria uwezekano wa kuivamia nchi nzima na kuweka adabu. Pesa wanayo, watu wanao na mkiwauwa ndiyo kwanza wanashukuru maana mnawapunguzia idadi ya watu. Nia ya kufanya hivyo wanayo na sababu wanayo maana Meli zao zilizoshiba bidhaa, zinakwama kwenda na kutoka China. Subiri sasa uone KIBANO kitakachoshuka maana kwa ukatili, hivi vijamaa havijambo. Vitahakikisha kama ikibidi, vinauwa hadi MIJUSI ya Somalia......
Huyo Osama unayesema ni wa USA/NATO.Osama halisi aliishi Sudan lakini hakuhusika na mashambulizi ya Tanzania wala Kenya.Hakulishwa samaki bali alizikwa eneo la Afghanistan mwaka 2001 na hakuna USA wala NATO watakaolijua kaburi lake.
Pamoja na hivyo kwani maisha ya watanzania na Kenya na USA tu ndio yenye thamani?.Yale ya walibya na Pakistan hayana maana yoyote kwako.
 
Salva_Kirr_Press-c6f02.jpg

As tensions continue within Sudan’s disputed Abyei, the South Sudan leader, Salva Kiircompletely ruled out a return to war, instead urging the north the withdraw its forces from the oil-producing region.
Speaking at his first press conference in the capital Juba, since northern forces seized the region, displacing thousands of the population, Kiir said the south, under his leadership will remain committed to the full implementation of the 2005 Comprehensive Peace Agreement (CPA).
"South Sudan will not go back to war. It will never happen under my leadership and I have said this before," president Kiir told journalists at a well-attended press conference on Thursday
S. Sudan leader rules out war with north over Abyei - Sudan Tribune: Plural news and views on Sudan
 
Mimi ninavyoelewa ubaya wote huo unatokana na mikakati endelevu ya vita dhidi ya uislamu.Kwa Afrika taifa la Sudan ni mfano wa kuigwa wa maendeleo ya elimu ya kiislamu.Athari yake imekuwa ikivuka mipaka kwa kasi na hasa kuendea kusini.Lengo la mwanzo la kuigawa Sudan na kuweka kuzuizi cha kusini limefanikiwa kwa kutumia vyombo vya habari vilivyoupa sura mbaya sana mgogoro wa kusini ya Sudan.Haikuchukuliwa kwamba ni matatizo ya ndani ya Sudan ambayo wenyewe walikuwa wakiyatatua kwa vizuri.Huu mgogoro ulifanywa ni wa dunia.
Serikali ya Albashir ilidhani kwa kuruhusu kura ya maoni iliyokuwa huru kwa upande wake lakini na uchochezi mwingi wa maadui wa uislamu kwa wasudan wa kusini ilidhani ndio mambo yangetulia lakini ndio kwanza wanaandamwa.
Kila utakalofanya kuwaridhisha mabeberu haitakuwa vyema.Angalia yanayoendelea Libya hata Ghadafi angesema na kufanya nini mkakati wa kuiteka na kuikalia Libya usingesimama.Hivyo hivyo kwa Pakistan ushirikiano wote iliyotoa kwa US eti kumtafuta Osama kwa miaka 10 wala haikuwa ni wema bali wamejimaliza wenyewe na kuiua dini yao wenyewe.Sasa hivi Pakistan si lolote na Marekani iko mbioni kumuweka mtu wamtakae na zuzu zaidi kuliko Asif Zardai kuua nguvu ya nyuklia ya Pakistan. Hayo yakitendeka huku aliyekuwa adui wa Pakistan-India akiwa tayari ana mikataba madhubuti ya kijeshi iliyo dhidi ya Pakistan.
Hakuna sababu yoyote ya Tanzania kupeleka jeshi Sudan ya kusini kupigana na kaskazini isipokuwa ni ushirika wake wa siri na US na NATO kufanikisha malengo yao.

Kwa mawazo yako Mwislamu! Unyefurahia wenzako weusi wakinyanyasika mradi tu wanaowanyanyasa ni waislam wenzako
 
Salva Kiir,rais wa Sudan ya kusini kasema hataki vita.Huo sio msimamo wa waharibifu wa dunia.Hapo chini wanajaribu kutoa ushahidi wa uongo ili vita iwepo.

New satellite images provide evidence that northern Sudanese troops have committed war crimes, including ethnic cleansing, in the contested border town of Abyei where the forces took over more than a week ago, according to an advocacy group.
The Satellite Sentinel Project said in a statement on Sunday that satellite images by DigitalGlobe show that the Sudanese army burned about one-third of all civilian buildings in the north-south border town, used disproportionate force and indiscriminately targeted civilians.
"The totality of evidence from satellites and ground sources points to state-sponsored ethnic cleansing of much of the contested Abyei region,'' the group said.
The Satellite Sentinel Project said the evidence is being sent to the International Criminal Court (ICC) and the UN Security Council for assessment.
Omar al-Bashir, Sudan's president, is already wanted by the ICC for war crimes in the Darfur region.
Northern Sudanese tanks rolled into the town of Abyei on May 21, scattering southern troops that were there as part of a joint security unit.
Thousands displaced
The seizure of Abyei followed an attack on a convoy of northern soldiers by southern forces on May 19 and two days of aerial bombardment of the area by the north.
The northern takeover has displaced tens of thousands of civilians who now live in squalid conditions in southern villages.
On Sunday, Save The Children's UK office warned that a new wave of violent conflict has displaced up to 35,000 children.
The group said in a statement on Sunday that children who have been separated from their families since fighting broke out are at "grave risk'' of being targeted for sexual and physical abuse or recruited into the armed conflict.
Save the Children said it is "desperately worried about those children currently beyond the reach of humanitarian assistance".
George Clooney, the Hollywood actor, urged the UN to protect civilians in Abyei, saying the north's takeover was meant to disrupt the south's upcoming independence in July.
"We now have undeniable proof of the Khartoum regime's war crimes in Abyei. We've captured visual evidence of the Sudan Armed Forces ransacking and razing Abyei town," Clooney said.
Clooney initiated the Satellite Sentinel Project along with John Prendergast, co-founder of the Enough Project, after they travelled to Southern Sudan in October 2010.
Visual evidence
The Satellite Sentinel Project was established to use satellite images and on-the-ground reports to help deter the resumption of full-scale civil war between Sudan's north and south.
In its statement, the group said the new visual evidence shows that the government of Sudan has committed grave violations of the Geneva Conventions and other war crimes, some of which may also constitute crimes against humanity.
North and south Sudan ended more than two decades of civil war in 2005 with a peace deal that promised both Abyei and the south a self-determination vote.
The south voted overwhelmingly in January to secede and will become an independent nation July 9. Abyei's vote never happened, so its future is being negotiated by the north and south.
Prendergast on Sunday urged Obama administration to punish Sudan by isolating it diplomatically and denying it debt relief. He also asked the Abyei matter to be referred to the ICC.
"What is happening in Abyei is what the international community feared would happen in Benghazi, Libya," he said.
"We're not advocating military intervention, but we do think the Responsibility to Protect doctrine requires more assertive action in support of ongoing emergency diplomacy."
US group says Sudan army committed war crimes - Africa - Al Jazeera English
 
South Sudan's enemy within

Even before South Sudan declares its independence next week, it is already fighting at least half a dozen rebel movements.

On a video recording obtained by the BBC, hundreds of southern fighters jog rhythmically in a wide circle, singing and flaunting their new weapons

BBC News - South Sudan's enemy within
 
South Sudan's enemy within

Even before South Sudan declares its independence next week, it is already fighting at least half a dozen rebel movements.

On a video recording obtained by the BBC, hundreds of southern fighters jog rhythmically in a wide circle, singing and flaunting their new weapons

BBC News - South Sudan's enemy within
Kwa vile South Sudana kuna mafuta vita itakuwa ni daima.Watapiganishwa kama majogoo mpaka siku watakapotia akili.
 
Back
Top Bottom