ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Watanzania wenzangu,
Vita vya ufisadi mbado vibichi kabisa, nasema hivyo baada ya matokeo ya Uchaguzi yanaonyesha wale watuhumiwa ambao walihusishwa na tuhuma za Richmoond, Rada, Kagoda, EPA nk wamerudi katika chombo kikubwa kabisa cha kutunga sheria nchini kwa ushindi wa vishindo.
1. Rostam Aziz - Igunga
2. Andrew Chenge - Bariadi
3. Edward Lowassa - Moduli.
Nasema hivyo sababu hawa jama wana nguvu sana ndani ya CCM na katika serikali itakayoundwa kwa ujumla, kwa hiyo watanzania wenzangu tushangilie ushindi wa CHADEMA ila tujue tuna kazi kubwa sana kabla ya 2015.
Vita vya ufisadi mbado vibichi kabisa, nasema hivyo baada ya matokeo ya Uchaguzi yanaonyesha wale watuhumiwa ambao walihusishwa na tuhuma za Richmoond, Rada, Kagoda, EPA nk wamerudi katika chombo kikubwa kabisa cha kutunga sheria nchini kwa ushindi wa vishindo.
1. Rostam Aziz - Igunga
2. Andrew Chenge - Bariadi
3. Edward Lowassa - Moduli.
Nasema hivyo sababu hawa jama wana nguvu sana ndani ya CCM na katika serikali itakayoundwa kwa ujumla, kwa hiyo watanzania wenzangu tushangilie ushindi wa CHADEMA ila tujue tuna kazi kubwa sana kabla ya 2015.