Rubuyemajaliwa
New Member
- Nov 20, 2010
- 4
- 0
Huenda hujakutana nayo,lakini ni juzi tu tulikuwa na jamaa tunajadiri,rushwa iko kila kona,mahakamani,police,barabarani(trafic),hospitari,ofisi za huduma za kiserikali,n.k.je,pccb wanaweza maliza kitu hii au ........