Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,949
- 46,547
Kula posho utumie zakoMkuu sijakuelewa! Kwani Tanganyika kuna sherehe za mapinduzi? Hivi na kule tulipata uhuru kwa mapinduzi? Sikuwepo wakati ule. Hemu nipashe kidogo.
Kula posho utumie zakoMkuu sijakuelewa! Kwani Tanganyika kuna sherehe za mapinduzi? Hivi na kule tulipata uhuru kwa mapinduzi? Sikuwepo wakati ule. Hemu nipashe kidogo.
Nitarejea Tena na Tena kwa kile kionjo mlichokipata Watanganyika 29/10. Nina uhakika hakuna atakaerejea upuuzi ule warudi tu wenyewe kina Sarungi ambao wana kijiba Cha roho zidi ya WazanzibariTUJITOKEZE KWA WINGI SIKU YA TAREHE 12/1/2026 AWAMU YA PILI YA MAANDAMANO YASIYO NA KIKOMO ILI TANGANYIKA YETU TUIKOMBOE KUTOKA KWA MABEBERU WEUSI KUTOKA UNGUJA NA PEMBA
Mbona unajibu kinyonge sana?Mkuu wewe umefanya check-up upo mzima 100%?
Sijapata posho miye. Hemu nimegee hizo zako.Kula posho utumie zako
Subiri wamalize kikao usimame nje uwaombeSijapata posho miye. Hemu nimegee hizo zako.
Sijazoea kuwa ombaomba. Naomba nisaidie kwenye hili. Mwanzangu unajua mbinu nyingi na mambo mengi.Subiri wamalize kikao usimame nje uwaombe
Sijazoea kuwa ombaomba. Naomba nisaidie kwenye hili. Mwanzangu unajua mbinu nyingi na mambo mengi.
Hii nakukumbusha wewe uliyepata kwamba mimi sijapata nawe ndo unajua zinapopatikana. Sijaomba huko unakochukua wewe🤣🤣
nini kinaonyesha kwamba kinyonge mkuu?Mbona unajibu kinyonge sana?
Hujakataa hoja ya jamaa kuhusu hali ya kiafya ya mtumishi wa umma, ukaamua kumbadilishia kibao yeye. Umeifanya issue kuwa personal, wakati mlikuwa mnamuongelea mtumishi wa serikali.nini kinaonyesha kwamba kinyonge mkuu?
hawajiamin term hii wapo roho juu juuKikwete mbona anavaa bullet proof kubwa sana anaogopa nini???
Hivi ametoka nje ya bongo tangu 29/10/2025?Mshindi wa asilimia 98% anaona aibu kutoka nje
Thubutuuu hata ndani ya nchi ameshindwaHivi ametoka nje ya bongo tangu 29/10/2025?