Visiwani Kunani?

Kwa kweli hii inatia shaka,kwa nini vigogo wapo zenji!?
Mwanaharakati maria katoa uchambuzi wa video ya mama hotuba ya mwaka mpya kadai ni AI,sina mb za kurudia kutazama
Au wanataka mwinyi akubali kuwa makamu wa muungano!?
Najua Maza yupo likizo ya wiki mbili,lakini kwa nini JK yupo huko,au kuna kikao cha CCM!?
 
Hiyo ndio kamati ya maridhiano imeanza warm up.
 
Namba 1,2,3 zote siko sehemu Moja...

Au basi. Muda ni rafiki mzuri 🙏

Je, tutegemee namba 2,3 zilizostaafu kufike nako huko? 🤔🤔🤔
 
Mkuu hii ni Januari, leo tarehe 5. Hayo ni maandalizi ya sherehe ya miaka 62 ya Mapinduzi Zanzibar.
 
Aulizwe Niko pamoja na Samia
Na wasaidizi wake wa karibu akina Stuxnet THE BIG SHOW ningemuongeza Ritz ila huyu ametingwa na majukumu
 
Mkuu hii ni Januari, leo tarehe 5. Hayo ni maandalizi ya sherehe ya miaka 62 ya Mapinduzi Zanzibar.
Wajinga wana ahirishwa ya tanganyika wanaenda kutukuza ya zanzibar
 

niaminivyo huyo wala hataki kuendelea isipokuwa amezungukwa na mafisi ambao wana zile unatuachaje? lkn kama ni yeye naamini angeshatuachia linchi letzu long time, sema mafisi, wazanzibari huwa ni watu cool sana hawana makuu kiihivyo ...
 
Wajinga wana ahirishwa ya tanganyika wanaenda kutukuza ya zanzibar
Mkuu sijakuelewa! Kwani Tanganyika kuna sherehe za mapinduzi? Hivi na kule tulipata uhuru kwa mapinduzi? Sikuwepo wakati ule. Hemu nipashe kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…