Visiwani Kunani?

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
1. Makamu wa Rais Dr. Nchimbi yupo Unguja ana zuunguka kuwajulia hali wastaafu.

2. Mzee wa Msoga yupo Pemba anafungua jengo la zimamoto.

3. Nadhani Rais naye bado ofisi ndogo ya Ikulu Tungu.

Anyway ngoja niagize Pop corn nifuatilie kwa ukaribu hizi ziara ๐Ÿ˜ƒ
 
Wameenda kuyasawazisha
Maana Nchimbi na Samuya haziivi chungu moya. Wote watoto wa Kikwete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ