Vision Fund Arusha, msaada wa kupata maelezo zaidi

Vision Fund Arusha, msaada wa kupata maelezo zaidi

Dundo_Boy

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
2,458
Reaction score
2,468
Habarini ndugu zangu!, nimekuja kuulizia kwa wenye kujua mahali inapopatikana ofisi kuu ya hawa VF kwa arusha. Mtandaoni nimeangalia lakini nataka na maelezo yenu ndugu, pia naomba kama kuna mtu anaweza kujua undani zaidi (yaani mishahara yao ikoje huko).....Msaada jamani mm nataka kuonana nao siku si nyingi...naombeni ABC's
 
Habarini ndugu zangu!, nimekuja kuulizia kwa wenye kujua mahali inapopatikana ofisi kuu ya hawa VF kwa arusha. Mtandaoni nimeangalia lakini nataka na maelezo yenu ndugu, pia naomba kama kuna mtu anaweza kujua undani zaidi (yaani mishahara yao ikoje huko).....Msaada jamani mm nataka kuonana nao siku si nyingi...naombeni ABC's
Jamaa hao nafikiri ndio walikuwa SEDA hapo awali ila sasa wanaitwa Vision Funds wapo arusha ndio makao makuu yao nchini. Ofisi zao zipo maendo ya clock tower nyuma ya hotel ya New Safari Hotel utazipata hapo.

Na sasa wanajiendesha kama bank...na kutoa mikopo kwa wajasiri wa mali.

Kuhusuu mshahara mzee inabidi umpate mtumishi wa hapo ila kama ukimpata Mtu wa mishahara au afisa utumishi atakupa details zaidi.

Pia wanafanya kazi kwa karibu sana na World Vision Tanzania..

Huenda neno vision ndio limewaunganisha.

Ni hayo tu nijuayo.
 
Jamaa hao nafikiri ndio walikuwa SEDA hapo awali ila sasa wanaitwa Vision Funds wapo arusha ndio makao makuu yao nchini. Ofisi zao zipo maendo ya clock tower nyuma ya hotel ya New Safari Hotel utazipata hapo.

Na sasa wanajiendesha kama bank...na kutoa mikopo kwa wajasiri wa mali.

Kuhusuu mshahara mzee inabidi umpate mtumishi wa hapo ila kama ukimpata Mtu wa mishahara au afisa utumishi atakupa details zaidi.

Pia wanafanya kazi kwa karibu sana na World Vision Tanzania..

Huenda neno vision ndio limewaunganisha.

Ni hayo tu nijuayo.
Asante sana kiongozi, Ubarikiwe!
 
Ukifika Nmb-Clock Tower..uliza Arusha Stationery(ni karibu tu)...ukifika hapo ofisi zao ziko opposite na hiyo Stationery.

....wako Blue Plaza building..1st floor...kwenye hilo jengo pia kuna ofisi za Fastet Jet.
...kuhusu habari za mshahara....sema position gani..ntajaribu ABC zitakazo kusaidia kabisa kwenye kibembe kinachokukabili za usaili.

Kila la heri
 
Ukifika Nmb-Clock Tower..uliza Arusha Stationery(ni karibu tu)...ukifika hapo ofisi zao ziko opposite na hiyo Stationery.

....wako Blue Plaza building..1st floor...kwenye hilo jengo pia kuna ofisi za Fastet Jet.
...kuhusu habari za mshahara....sema position gani..ntajaribu ABC zitakazo kusaidia kabisa kwenye kibembe kinachokukabili za usaili.

Kila la heri
Asante, (a) .Head of Agric Business
(b). Loan Officer
Naomba hizo mbili please.
 
Back
Top Bottom