Nahisi Kuna teacher kishkwambi Chake kinaliwa kichwa. Lkn wamevusajili serial number na imei number Mzee kinajulikana. Vimesajiliwa hadi Kwa NIDA number za uraia ya mhusika(t3acher).
yaani serikali inauwezo wa ki allocate. Hata ukikifukia sehemu.
ushauri wangu ni Kaa mbali na kishkwambi Cha mwalimu