Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,144
- 3,459
MIMI: Maandiko yanaonesha kuwa
Adam alikuwa na watoto
wawili:
Kaini na Habili.
CARDINAL: ndio, Alikuwa na Watoto
wawili.
MIMI: Hakuna moto mwingine
anayetajwa kuwa
alijichomeka katikati ya hao
wawili!
CARDINAL: Haswaa, walizaliwa wawili.
Kaini ndo mkubwa, Habili
ndo mdogo.
MIMI: Kaini alimuua ndugu yake
akiwa mtoto ama mtu mzima?
CARDINAL: Akiwa mtu mzima. Kwa
mazingira yanayoelezewa,
alikuwa mtu mzima..
MIMI: Je Baada ya kumuua Habili,
Adam alikaa muda gani hadi
kupata Mtoto mwingine?
CARDINAL: Baada ya kifo cha Habili,
Adam alikaa miaka 130 ndipo
akamzaa mwana mwingine
mwenye sura na muonekano
wa Adam, akamuita SETH.
MIMI: Kwa miaka 130, imeandikwa
kuwa adam alikuwa na binti
yeyote kabla ya kuzaliwa kwa
Seth?
CARDINAL: Hapana, haikuandikwa, ila
kumbuka kuwa wanawake
walikuwa Hawahesabiwi
kipindi hiko? Kwa hiyo,
inawezekana hapo katikati
Alikuwa anapata tubinti, ila
baada ya miaka 130 ndipo
akapata mwana wa kiume!
MIMI: Hebu nisomee mwanzo 5:4.
CARDINAL: Maandiko yanasema:
Mwanzo 5:4
[4]Siku za Adamu baada ya
kumzaa Sethi zilikuwa miaka
mia nane, akazaa wana,
waume na wake.
MIMI: Mbona umesema kuwa mabinti
walikuwa hawahesabiwi?
Umeona mabinti walitajwa?
CARDINAL: Ndio naona.
MIMI: Wametajwa kuwa walizaliwa
baada ya Seth kuzaliwa ama
kabla ya Seth kuzaliwa?
CARDINAL: Ni baada ya Seth kuzaliwa.
MIMI: Ilikuwa imepita miaka mingapi
tangu Kifo cha habili hadi
kuzaliwa kwa Seth?
CARDINAL: Kwa Mujibu wa Simulizi za
Biblia ni kuwa baada ya kifo
cha Habili, Adam alikaa miaka
130, ndipo akampata Seth.
MIMI: Na mabinti wakazaliwa baada
ya miaka 130, sivyo?
CARDINAL: Ndio, tukifuata kihalali
maandiko, Walizaliwa baada
ya hiyo miaka..
MIMI: Unataka kuniambia kuwa kwa
muda wa miaka 130 kaini
alikuwa Hana hata kadem?
Unamaanisha alienda kukaa
mwituni akila nyeto tu bila
hata katoto ka elfu mbili?
CARDINAL: Dah, hili swali ni zito, ila
kiukweli inaonesha wazi kuwa
kulikuwa na jamii nyingine ya
watu. Maandiko yanaonesha
dhahiri kuwa baada ya
kuondoka pale, alienda nchi
Ya Nod ( ugenini) mahala
ambapo huko alipata mke na
kuzaa watoto. Hii ilifanyika
ndani ya miaka 130, na si
baada.
MIMI: Hii jamii ilitoka wapi?
CARDINAL: Nakuibia siri, ila usiende
kuhubiri huko tusije kosa
waumini, maake nakufahamu.
huwa hauna siri. Hili neno
Nod, ni neno linalomaanisha
kutangatanga, lakini hapo kale
lilimaanisha Nubia. Kwa hiyo,
ngozi nyeusi imekuwapo hata
kabla ya uumbaji wa huyu
Adam. Hata hivyo historia
yake imefukiwa fukiwa ili
isifahamike hadi leo.
Anadhani alitoka kwa Adam.
Ningependa Wanaotaka
kujuwa historia yao Wasome
hadithi za Dogon Kuhusu
chimbuko la mtu mweusi.
MIMI: Dah, unaonekana wewe ni
muungwana sana.
Ningekutana na Kina fulani
hapa, ningekuwa
nishatimuliwa. Je Unadhani
mwafrika, mzungu, muarabu,
mchina na Muhindi wana asili
moja?
CARDINAL: Hapana, hawana asili moja.
Hizo ni asili tofauti kabisa.
MIMI: kwanini?
CARDINAL: Tafiti zainasema kuwa Watu
wote asili yao ni Afrika. Ila hii
ni propaganda tu ili
waendelee kunyonya afrika.
MIMI: Kwanini?
CARDINAL: Chukuwa mfano huu: Mimi ni
mtu mweusi. Ninapatikana
afrika ya mashariki. Nina mke
wangu ni mweusi kabisa,
anapua fupi na kubwa kama
yangu. Tumezaa watoto 12,
waoto 2 wa kiume na wakike
wakachukuana ili kwenda
kuendeleza Uzao– wakaenda
Sweden ambapo hakuna jamii
nyingine nyeupe yenye pua
ndefu. Baada ya miaka 5000
( vizazi 200) wanazaa watoto
wenye pua ndefu, na ngozi
nyeupe. Hii inawezekana?
MIMI: Pengine, kutokana na
Mazingira ya kule.
CARDINAL: Makaburu wa Afrika kusini
wamekuja huku afrika mwaka
gani?
MIMI: Miaka ya 300-400 AD.
CARDINAL: Mbona hawajawa weusi? Ok,
watu wa Eritrea, wana muda
gani kule?
MIMI: Kwa hiyo unataka kusema nini
hapa cardinal?
CARDINAL: Ni lazima wanangu
watakapoenda Sweden,
wakutane na Race nyingine
yenye pua Ndefu na ngozi
nyeusi, ndipo watoto wao
watakapoanza kupata Wana
wenye pua Ndefu na Ngozi
nyeupe tofauti na race ya
wazazi wao ambayo miaka
nenda rudi hawatowahi kizaa
ngozi nyeupe wao kwa wao.
MIMI: Kwa hiyo kumbe Hizi ni race
tofauti kabisa?
CARDINAL: Ndio.. Wewe na mkeo ni
weusi wenye pua fupi. Hata
muende Norway, mkae miaka 1
Milion. Hatowahi kupatikana
mtu mwenye ngozi nyeupe na
pua ndefu.
MIMI: Mbona wazungu waseme kuwa
mtu wa kwanza alitoka afrika
mashariki? Mbona wadai kuwa
sote tuna asili moja, ilihali
waziwazi wanatubagua?
CARDINAL: Huo ni mpango mkakati ili
waendelee kunyonya afrika.
Lakini sisi na wao ni Race
tofauti kabisa. Wanajuwa
kuwa mwafrika akijuwa kuwa
yeye na wao ni maji na
mafuta– waafrika
watamtimua, hivyo anajitahidi
kuunganisha hizi race mbili
tofauti ili apate mwanya wa
kuendelea kula mema ya
afrika.
MIMI: saasa mbona wewe bado uko
huko?
CARDINAL: nazingatia maokoto ndugu
yangu😁
Adam alikuwa na watoto
wawili:
CARDINAL: ndio, Alikuwa na Watoto
wawili.
MIMI: Hakuna moto mwingine
anayetajwa kuwa
alijichomeka katikati ya hao
wawili!
CARDINAL: Haswaa, walizaliwa wawili.
Kaini ndo mkubwa, Habili
ndo mdogo.
MIMI: Kaini alimuua ndugu yake
akiwa mtoto ama mtu mzima?
CARDINAL: Akiwa mtu mzima. Kwa
mazingira yanayoelezewa,
alikuwa mtu mzima..
MIMI: Je Baada ya kumuua Habili,
Adam alikaa muda gani hadi
kupata Mtoto mwingine?
CARDINAL: Baada ya kifo cha Habili,
Adam alikaa miaka 130 ndipo
akamzaa mwana mwingine
mwenye sura na muonekano
wa Adam, akamuita SETH.
MIMI: Kwa miaka 130, imeandikwa
kuwa adam alikuwa na binti
yeyote kabla ya kuzaliwa kwa
Seth?
CARDINAL: Hapana, haikuandikwa, ila
kumbuka kuwa wanawake
walikuwa Hawahesabiwi
kipindi hiko? Kwa hiyo,
inawezekana hapo katikati
Alikuwa anapata tubinti, ila
baada ya miaka 130 ndipo
akapata mwana wa kiume!
MIMI: Hebu nisomee mwanzo 5:4.
CARDINAL: Maandiko yanasema:
Mwanzo 5:4
[4]Siku za Adamu baada ya
kumzaa Sethi zilikuwa miaka
mia nane, akazaa wana,
waume na wake.
MIMI: Mbona umesema kuwa mabinti
walikuwa hawahesabiwi?
Umeona mabinti walitajwa?
CARDINAL: Ndio naona.
MIMI: Wametajwa kuwa walizaliwa
baada ya Seth kuzaliwa ama
kabla ya Seth kuzaliwa?
CARDINAL: Ni baada ya Seth kuzaliwa.
MIMI: Ilikuwa imepita miaka mingapi
tangu Kifo cha habili hadi
kuzaliwa kwa Seth?
CARDINAL: Kwa Mujibu wa Simulizi za
Biblia ni kuwa baada ya kifo
cha Habili, Adam alikaa miaka
130, ndipo akampata Seth.
MIMI: Na mabinti wakazaliwa baada
ya miaka 130, sivyo?
CARDINAL: Ndio, tukifuata kihalali
maandiko, Walizaliwa baada
ya hiyo miaka..
MIMI: Unataka kuniambia kuwa kwa
muda wa miaka 130 kaini
alikuwa Hana hata kadem?
Unamaanisha alienda kukaa
mwituni akila nyeto tu bila
hata katoto ka elfu mbili?
CARDINAL: Dah, hili swali ni zito, ila
kiukweli inaonesha wazi kuwa
kulikuwa na jamii nyingine ya
watu. Maandiko yanaonesha
dhahiri kuwa baada ya
kuondoka pale, alienda nchi
Ya Nod ( ugenini) mahala
ambapo huko alipata mke na
kuzaa watoto. Hii ilifanyika
ndani ya miaka 130, na si
baada.
MIMI: Hii jamii ilitoka wapi?
CARDINAL: Nakuibia siri, ila usiende
kuhubiri huko tusije kosa
waumini, maake nakufahamu.
huwa hauna siri. Hili neno
Nod, ni neno linalomaanisha
kutangatanga, lakini hapo kale
lilimaanisha Nubia. Kwa hiyo,
ngozi nyeusi imekuwapo hata
kabla ya uumbaji wa huyu
Adam. Hata hivyo historia
yake imefukiwa fukiwa ili
isifahamike hadi leo.
Anadhani alitoka kwa Adam.
Ningependa Wanaotaka
kujuwa historia yao Wasome
hadithi za Dogon Kuhusu
chimbuko la mtu mweusi.
MIMI: Dah, unaonekana wewe ni
muungwana sana.
Ningekutana na Kina fulani
hapa, ningekuwa
nishatimuliwa. Je Unadhani
mwafrika, mzungu, muarabu,
mchina na Muhindi wana asili
moja?
CARDINAL: Hapana, hawana asili moja.
Hizo ni asili tofauti kabisa.
MIMI: kwanini?
CARDINAL: Tafiti zainasema kuwa Watu
wote asili yao ni Afrika. Ila hii
ni propaganda tu ili
waendelee kunyonya afrika.
MIMI: Kwanini?
CARDINAL: Chukuwa mfano huu: Mimi ni
mtu mweusi. Ninapatikana
afrika ya mashariki. Nina mke
wangu ni mweusi kabisa,
anapua fupi na kubwa kama
yangu. Tumezaa watoto 12,
waoto 2 wa kiume na wakike
wakachukuana ili kwenda
kuendeleza Uzao– wakaenda
Sweden ambapo hakuna jamii
nyingine nyeupe yenye pua
ndefu. Baada ya miaka 5000
( vizazi 200) wanazaa watoto
wenye pua ndefu, na ngozi
nyeupe. Hii inawezekana?
MIMI: Pengine, kutokana na
Mazingira ya kule.
CARDINAL: Makaburu wa Afrika kusini
wamekuja huku afrika mwaka
gani?
MIMI: Miaka ya 300-400 AD.
CARDINAL: Mbona hawajawa weusi? Ok,
watu wa Eritrea, wana muda
gani kule?
MIMI: Kwa hiyo unataka kusema nini
hapa cardinal?
CARDINAL: Ni lazima wanangu
watakapoenda Sweden,
wakutane na Race nyingine
yenye pua Ndefu na ngozi
nyeusi, ndipo watoto wao
watakapoanza kupata Wana
wenye pua Ndefu na Ngozi
nyeupe tofauti na race ya
wazazi wao ambayo miaka
nenda rudi hawatowahi kizaa
ngozi nyeupe wao kwa wao.
MIMI: Kwa hiyo kumbe Hizi ni race
tofauti kabisa?
CARDINAL: Ndio.. Wewe na mkeo ni
weusi wenye pua fupi. Hata
muende Norway, mkae miaka 1
Milion. Hatowahi kupatikana
mtu mwenye ngozi nyeupe na
pua ndefu.
MIMI: Mbona wazungu waseme kuwa
mtu wa kwanza alitoka afrika
mashariki? Mbona wadai kuwa
sote tuna asili moja, ilihali
waziwazi wanatubagua?
CARDINAL: Huo ni mpango mkakati ili
waendelee kunyonya afrika.
Lakini sisi na wao ni Race
tofauti kabisa. Wanajuwa
kuwa mwafrika akijuwa kuwa
yeye na wao ni maji na
mafuta– waafrika
watamtimua, hivyo anajitahidi
kuunganisha hizi race mbili
tofauti ili apate mwanya wa
kuendelea kula mema ya
afrika.
MIMI: saasa mbona wewe bado uko
huko?
CARDINAL: nazingatia maokoto ndugu
yangu😁