chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 462
- 974
Wajuba hii nchi vigezo vya kuingia Australia hapana ahseee kumbe ni ngumu sana. Yani bora USA nasidhani kama wewe ni mtanzania mwenye uchumi wa kawaida kama utatoboa, yani hata kama show money in your account ikawa $30000 Kwa student viza bado wanakaa na college zao ni ghaliii mnooo sijui wanalingia nini hawa mbweha
Nawaachia linchi lao ngoja tu niende marekani basi
Nawaachia linchi lao ngoja tu niende marekani basi