Utulindwana twa mumbwani tukamanya pakuruka imilili twisibhile si tanitani, kangi tukabhagila kupimba ibosolo
Kwani mkiandika Kiswahili kuna shida gani jamani? Mwalimu alishaondoa ukabila bwana, watu kama nyie wananiudhi sana. Kama mnataka kuongea kilugha tumianeni PMs hapa ni jukwaa la umma
Abha bakasyaganya isi tukusimba bhakalonde idiksionare ja banyakyusa kubuka kubajanga abaswahili, jasimbigwe na mkuki na nyota pabulisha, jilipo kuonilaini....
Hujamuona simba akipandisha mkia na meno kakenua?mwanamke gani jasiri bana?.....mwanamke awe na aibu..muoga muoga......sasa janamke huyu utamwambieja apanue miguu.....
makosi gha nyoko! usishtuke nyoko ni mamaNyie ------- andikeni kiswahili sio mnakuwa kama ma k
makosi gha nyoko! usishtuke nyoko ni mama
Imbofu sya mandeleni!
Wee unamjua mandeleni?umenikumbusha hospitali ya Kyela yule mama kichaa alikuwa bubu na alikuwa ananyakua vitu kutoka kwa watu
hee!!! humu kunani tena!!!! Elli uje unisaidie nimekosea njia mwaya!
Mimi kinyakyusa nijuacho ni wimbo nilioimba enzi zile nipo depo JKT:
"Ugonile ndaaga (ugonile ndaga fijo)
Ugonile ndaga (ugonile ndaga fijo)
Ugonile ndaga fijo (ugonile ndaga fijo).
Wanyakyusa wosa (ugonile ndaga fijo)
Wasukuma wosa (ugonile ndaga fijo)
na Wachagga wosa (ugonile ndaga fijo)
Ugonile ndaga fijo (ugonile ndaga fijo)
ugonile ndaga fijo (ugonile ndaga fijo)
Na wapare wosa (ugonile ndaga fijo)
Wanyaturu wosa (ugonile ndaga fijo)
nk nk nk nk"
Hata sijui maana ya huo wimbo. Bujibuji help me zea...
"
Mentor huo wimbo umejaa matusi, ni laana kabisa kuandika tafsiri yake hapa ubaoni.
Vp ile gesti yako bado inafanya kazi?
Nimeibua mke wa mtu nataka nikajibanze nae