OSCAR A. PESSA
New Member
- Feb 9, 2014
- 3
- 1
Kwa watu tusio na ajira iko hivi...
Kuna % kubwa ya watu ukiwatafuta kuhusu mambo ya kazi wanakujibu kua upo kimya sana kijana mara unajifungia sana njoo mjini mwengine eti amesahau... Yani mi nashindwa kuwaelewa kabisa maana wote ndio majibu yao hivi huna ajira kila siku utakua mtu wa kwenda posta kuzurura bila kazi maalumu.jamani maisha bila ajira ni ngumu sana..
Kuna % kubwa ya watu ukiwatafuta kuhusu mambo ya kazi wanakujibu kua upo kimya sana kijana mara unajifungia sana njoo mjini mwengine eti amesahau... Yani mi nashindwa kuwaelewa kabisa maana wote ndio majibu yao hivi huna ajira kila siku utakua mtu wa kwenda posta kuzurura bila kazi maalumu.jamani maisha bila ajira ni ngumu sana..