Visa na Mikasa ya Ethiopian Airlines - Waafrika Kulikoni?

Wewe jamaa utaishi Maisha marefu. Una vituko sana😁😁😁😁

Mkuu roho za korosho za nini ndugu yangu?

Hata kina Adamoo wangewaachia tu.

Tujenge nchi yetu. Hatuna magaidi hapa!

Au nasema uongo ndugu zangu?

Hii bila kukusahauni johnthebaptist na Jumbe Brown japo kwa majina yenu wakuu 😁😁.
 
Zisome vizuri comments zote. Usisahau hata ya Magonjwa Mtambuka nayo inaweza kuwemo humo 😁😁.

Haya ni maajabu ya Mussa yanayoweza kutokea Afrika tu
Soma wewe uelewe mkuu. Una utaalamu na hii kitu au unazungumza tu? Huoni kuna some rational reason behind ndege mbili za shirika moja kujaribu kutua same airport iliyo under construction same day within 2.5 hours of each other? Umejaribu kufuatilia ET wametoa maelezo gani kuhusu hizi incidents au umeishiai ku insinuate "innate inferioty" of Africans?
 
Wewe una utaalamu na hii kitu au unazungumza tu?

Pana haja ya hata ya kukumbushana wataalamu wa hizo vitu waliko?

Boeing: The Boeing Company: General Information

Ndege inatokana nje ya nchi inakwenda kutua hadi kufikia 10m kutoka ardhini aliyekuwa nayo hajui kuwa amepotea njia?

Kama vile haitoshi na ndege nyingine kampuni hiyo hiyo inafanya hayo hayo. Hivi hizo ndege mbili za kampuni hiyo hiyo hawawasiliani wao kwa wao au hata base yoyote yao?

Haya si ya Einstein - "doing the same thing over and over,expecting different results." Kuna haja ya kuita jina uzuri? Hiyo si ndiyo insanity sasa?

Ndege zinatua viwanjani zikishirikisha vyema control towers husika.

Hakuna visingizio hapa. Usanii huu na wa maji na umeme wa kina Majaliwa ni baba mmoja mama mmoja!
 

Wewe lengo lako ni malumbano ya hoja za kisiasa. Hii ishu ya ndege umeingia cha kike bora ungetafuta mfano mwingine sababu hujui chochote.
 
Wewe lengo lako ni malumbano ya hoja za kisiasa. Hii ishu ya ndege umeingia cha kike bora ungetafuta mfano mwingine sababu hujui chochote.

Wewe si Jaji kama Tiganga kutoa hukumu yoyote.

Hoja iko wazi kuna madege marubani hawafai. Bahati mbaya tuna wengine makwetu nao hawafai pia.

Cha kike umejisokomeza wewe. Huna lolote unalolijua.

Habari ndiyo hiyo.
 
Mtu mweusi unasikia ni IGP unadhani ni mtu aliyeelevuka kweli kweli kumbe sio.

Ukisikia ni Jaji utadhani ni mtu wa maana sana kumbe ni kinyumr chake. Mtu mweusi usimtambue kwa title.
 
Wee mbuzi subiri J3 utupe mrejesho kwenye kesi ya basha lako. Haya mambo yandege huna weledi nayo.

JF raha sana. Sawa mbuzi jike. Eti mtalaamu wa ndege.



Mtalaamu wa ndege uwe wewe? Una nini cha kumwambia nani wewe?



Kawaambie waliokutuma, hatudanganyiki!
 
Hiyo nadhani ilikua emergency landing! Mpongeze pilot aliye tua ndege hapo kwa kuokoa maisha ya watu

Ni muhimu kutofautisha emergency landing na diverted flight.

KIA - Arusha na kutua Arusha, haikuwa emergency landing bali ilikuwa ni diverted flight.
 

Kama kweli unachokieleza hapa ndicho kilichopelekea jamaa kushauriwa watue Arusha, wanabahati sana hayakutokea madhara makubwa. Ndege ingeweza kupitiliza ikapinduka au kugonga vitu ikalipuka. Urefu wa uwanja wa Arusha unafahamika, ukubwa na uwezo wa ndege ya Ethipoia hali kadhalika unafahamika, kimsingi ni nadra sana ndege itue pale bila kupata mushkel.

Kwa akili zangu bora ndege ingetua kwa kuanzia upande wenye ndege ndogo iliyopata hitilafu mwanzo wa uwanja ikamalizia safari yake upande ulio salama.

Najua kuna factor ya mwelekeo wa upepo unaoamua ndege itue kuelekea upande upi ( kutua Arusha ilikua maamuzi mabovu).
 
..kutua ktk uwanja mdogo wa arusha si walielekezwa na control tower ya kia?

..na kama waliweza kuiteremsha hiyo ndege bila madhara huenda they are good at what they are doing.
 
..kutua ktk uwanja mdogo wa arusha si walielekezwa na control tower ya kia?

..na kama waliweza kuiteremsha hiyo ndege bila madhara huenda they are good at what they are doing.

Ndege ilikuwa diverted kwenda Arusha vigezo vyote vikiwa vimezingatiwa.

Ingeweza kuelekezwa Jomo Kenyatta, Mwanza, Zanzibar, Mombasa au hata JKNIA kama ingekuwa lazima Kwamba Arusha pana walakini.

Umapepe wa hawa ndugu kwa kuzingatia rekodi zao hauwezi kupuuzwa jumla kwenye yaliyofuata baada ya kufika Arusha.

NB: Hii haikuwa emergency landing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…