Viporo ni noma

Viporo ni noma

Mangwea1900

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2025
Posts
2,485
Reaction score
3,224
Hivi kuna kifungua kichwa kizuri bila kiporo. Asubuhi umeamka zako baada ya kuswaki muda wa chai ukute wali maharage wa jana na chai ya rangi yenye mchachai wajameni. Hizi ndo chai za kibabe huwezi kuzipata kule magetini isipokuwa huku kwetu uswazi eti. Eti chai cha blue band au jam unataka uone maajabu gani saa tano njaa hadi machozi yanatoka🤣
 
Hivi kuna kifungua kichwa kizuri bila kiporo. Asubuhi umeamka zako baada ya kuswaki muda wa chai ukute wali maharage wa jana na chai ya rangi yenye mchachai wajameni. Hizi ndo chai za kibabe huwezi kuzipata kule magetini isipokuwa huku kwetu uswazi eti. Eti chai cha blue band au jam unataka uone maajabu gani saa tano njaa hadi machozi yanatoka🤣
Alafu uwe likizo au week end maana baada ya hapo ni kuuchapa tu
 
Wali nazi, harage nazi na chai ya rangi ya mdalasini ,karafuu na mchaichai......baada ya muda ukiachia ufyuzi mbu wote kwisha 😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom