Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Wana JF toka maandamano ya CDM yaanze kumekuwepo na vipindi maalum kwenye TV hapa kwetu wakiwahoji viongozi mbalimbali wa CCM na serikari kuhusu maandamano na wameutumia muda huo zaidi kukishambulia CDM kwa maneno makali ukiwemo na upotoshaji.Sasa naomba kujua je hivi vipindi vinalipiwa au ni bure kama ni bure kwa nini Television zetu hawawaiti CDM ili nao wawahoji ili kuweka uwiano wa taarifa hizi
NAWASILISHA...!
NAWASILISHA...!