Siku hizi watu hawaendagi kwa watu tena mdogo wangu. Muambie mkutane bar kwenye mbuzi choma, ama kama anamudu mkutane karambezi. Ukienda kwake atakuomba umsaidie kuosha vyombo na kufua nguo.
Anyways, kuimbishwa miezi miwili ni muda mrefu sana eh?
Amtafune amekuwa mihogo mibichi?
ni msichana wa 22 ila akili yangu bado ya kitoto kuna mtu kasema ananipenda ni 2 month sasa na kasema haridhiki mpaka niende kwake hivi kweli ananipenda miii naogopa kwenda mnanishaurije??kasema kama sijenda simpendi wala hatonifanya kitu kibaya.
labda na katoto kenyewe kan hamu ya kutafunwa, kaacheni kajipeleke kakatolewe shoo.Usiende kwake anataka kukutafuna tu huyo.
ni msichana wa 22 ila akili yangu bado ya kitoto kuna mtu kasema ananipenda ni 2 month sasa na kasema haridhiki mpaka niende kwake hivi kweli ananipenda miii naogopa kwenda mnanishaurije??kasema kama sijenda simpendi wala hatonifanya kitu kibaya.
ni msichana wa 22 ila akili yangu bado ya kitoto kuna mtu kasema ananipenda ni 2 month sasa na kasema haridhiki mpaka niende kwake hivi kweli ananipenda miii naogopa kwenda mnanishaurije??kasema kama sijenda simpendi wala hatonifanya kitu kibaya.
mmmmmmh usiende maana ukienda 2 umegegedwa, na nia yake ni kuonja 2 kama ni tam au chungu
Basi atammega...!!
Kama ukiamua kwenda, ukirudi utupe fidback mtoto mzuri!!!!!!!
Hivi karambezi kuna mtori?
Hivi ugali huwa unamegwa?
Kuna mahala nimesoma una hamu ya kula chabo, good start. Ila wifi shauri yako, kaka Slave akijua usiniombe nisuluhishe!
Upo mtori spesho. Unakuwakwenye pakti ya unga, wanakoroga jikoni two minutes unapata kitu na box. Shida unanukia kihindi, labda ubebe parachichi lako kwenye handbag.