22 wewe si mtoto,hata katiba ya jmt imeweka wazi.
NENDA TU,kisha uje utuelezee YALIYOJIRI :mimba::dance:
ni msichana wa 22 ila akili yangu bado ya kitoto kuna mtu kasema ananipenda ni 2 month sasa na kasema haridhiki mpaka niende kwake hivi kweli ananipenda miii naogopa kwenda mnanishaurije??kasema kama sijenda simpendi wala hatonifanya kitu kibaya.
Wewe bidodo, mara hii umeshasahau kama nilikwambia nakupenda na unisubiri??? Nani huyo ameanza kukudanganya kuwa anakupenda tena?! Hebu mpotezee banaa... bado kdg narudi halafu nitakuonyesha namna ya kupenda na kupendwa... Sawa mtoto mzuri eeh?asanteni sana wapendwa nimeelewa na sasa nashuhulikia moja tooo kusoma siendi kwake na yeye nimemueleza kasema simpendi ila nimeachana nae
we mdada acha kutudanganya sie watu wazima ! kama una akili ya kitoto umewezaje kuhisi kitu wakati kijana wa watuni msichana wa 22 ila akili yangu bado ya kitoto kuna mtu kasema ananipenda ni 2 month sasa na kasema haridhiki mpaka niende kwake hivi kweli ananipenda miii naogopa kwenda mnanishaurije??kasema kama sijenda simpendi wala hatonifanya kitu kibaya.