Vipi upo kiwanja gani pasaka hii

Vipi upo kiwanja gani pasaka hii

Mi niko zangu hapa Uzunguni muda huuu namendea mendea nitoke na vimada wawili nikapige three some,

Akiba niliyonayo ni 50K kila kimada anakula 25K mpaka Asubuhi.

Nimeshapiga wine yangu ya Dompo akili imeshakaa sawa nasubiri muda tu nisepe nao.
Nipo corner baa navizia totoz
 
Niko DIAMOND hapa.mwanza kona ya bwiru na sina kampani
 
Club sunset Lumo/Vituka kiwanja cha nyumbani
 
Mkuu umezoea maisha club tu, viwanja kila kukicha vinajengwa town....
ilikua ikiitwa maisha club kipindi iko kule oysterbay. Mi najua maisha basement haipo pale makumbusho imehamia mwenge na jina wamebadili wanaiita life club. Ndio maana nashangaa. Nirekebishwe kama siko sahihi
 
Mimi nipo na chemela wenu hapa tunajihandaa kuhoga tuludi tulale.
 
Back
Top Bottom