Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Shemeji yako mpendwa sema ngoja niuguze majeraha nikipona kazi anayo lazima nilipize na mimi.
Nani kakupiga?
Abee umeniita dada yangu kipenzi nimekuhamu.
Muulize kaajiriwa serikalini?bas kuna nafasi happ
hahaha uShemeji yako mpendwa sema ngoja niuguze majeraha nikipona kazi anayo lazima nilipize na mimi.
😀😀😀Ukisema ujiingize kichwa kesho unafunguliwa uzi mdangaji nani anataka kudhalilishwahahaba kuna mtu anatafta mke nimekukwoti sehem sio
Hili halisameheki ukiona kimya ujue best yako niko jera.hahaha u
hahaa usilipize
😜😜😜😜Mi niko guest fulani zangu navua
Pole mama, sasa ulipize una nguvu za kumpiga?Shemeji yako mpendwa sema ngoja niuguze majeraha nikipona kazi anayo lazima nilipize na mimi.
Nitamvizia akiwa amelala 😀😀😀Pole mama, sasa ulipize una nguvu za kumpiga?
Hivi wewe na ndege JOHN ni ndugu?Mi niko zangu hapa Uzunguni muda huuu namendea mendea nitoke na vimada wawili nikapige three some,
Akiba niliyonayo ni 50K kila kimada anakula 25K mpaka Asubuhi.
Nimeshapiga wine yangu ya Dompo akili imeshakaa sawa nasubiri muda tu nisepe nao.
Nitamvizia akiwa amelala
Kinondon?Nipo masai pub navizia totoz
😀😀😀😀😀Kupigana sio nguvu mda mwengine ujanja nimempania hapa nishaandaa siraha za maangamizi zipo mvunguni mwa kitanda.
Umenikumbusha mbali.
Maisha basement?Niko hapa, najiandaa kwenda maisha basement..., Cheki hapa barabarani gari inayoishia namba BAC ukuje hapa tuhame kiwanja mkuu
Nilifikiri peke yangu ndio nipo getoNipo gheto, Jf kama ivi over.
Iko wapi hii?Niko hapa, najiandaa kwenda maisha basement..., Cheki hapa barabarani gari inayoishia namba BAC ukuje hapa tuhame kiwanja mkuu