BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Pole sana.
Vyote mama yangu sie wengine tunauguza maumivu ya kipigo huku
Vyote mama yangu sie wengine tunauguza maumivu ya kipigo huku
Picha ya nyavu zako au ndoano 😎
Mkuu, mnapishana tena???Njoo tu, leo ndipo utaona maajabu ya mjini.
Tutapishana kama maradhi na dawa.
We acha sikukuu imenijia vibaya hii sina hamu 😞😞
Mkuu sogea asante loungeIkwete lodge vikindu
Hiki ni kiswahili ila sijaelewa kitu
Asante bestPole sana my dear
eeeh lazima tupishane. In⬅️➡️OutMkuu, mnapishana tena???
Ni kiswahili labda mie ndiye sijaelewa uliposema unavua hebu fafanua ukiweza.
Msubirie mwenzako ikiwezekana mbadilishane vinavyofaa kubadilisha na kushareeeeh lazima tupishane. InOut
Mi nipo home niliharibu jana leo na pretend home nizibe makorongo.
mmh itabidi nimpe pikipiki yeye anipe gari la JF.Msubirie mwenzako ikiwezekana mbadilishane vinavyofaa kubadilisha na kushare
Kama ulikuwepo wanawake wanarogeka ngoja nishinde home tu dawa iingie vizurSamahani nyingi na kujifanya bwege mtozeni
![]()


Vyote mama yangu sie wengine tunauguza maumivu ya kipigo huku




