Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Oya wazee vp kijana wetu happygod huko benfica.. Sababu kila kukicha ni samatta tu... Tupeni updates za role model wetu anayekiwasha sana stars.
Ingia google search simon msuva uone kama bado yupo moroccoHuwa situmii link..
Nakiri hiyo taarifa ulete hapa.
Msuva bado yupo na majuzi hapa kachaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi kwenye club yake.Ingia google search simon msuva uone kama bado yupo morocco
Leta hiyo habarMsuva bado yupo na majuzi hapa kachaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi kwenye club yake.
Ingia Google search Simon Msuva uone.Leta hiyo habar
Si nimekupa link ya Wikipedia hapo ukiingia Google ndo unakutana nayo....Au hujui hadhi ya Wikipedia[/QUOTE]Ingia Google search Simon Msuva uone.
Itakuwa yupo on loan... Timu gan hiyo?Current club wameandika ya moroko halafu chini wameandika benfica sasa sijui nishike lipi
Difaa el jadidaItakuwa yupo on loan... Timu gan hiyo?
Hapana yupo timu fulani sijui ya ugiriki on loan... Juu kabisa wameandika jina lakeDifaa el jadida
Duh... Ila kuna mshikaji wangu kanambia hivyohivyo sasa sijui yeye katoa wap hiyo taarifaHiyo page ya wikipedia mwezi uliopita iliweka msuva kashawahi cheza mamelod na pia azam. Usiamini sana wikipedia.
Taarifa za msuva zina mikanganyo.Duh... Ila kuna mshikaji wangu kanambia hivyohivyo sasa sijui yeye katoa wap hiyo taarifa
Ooh shukrani mkuu ntafuatiliaTaarifa za msuva zina mikanganyo.
Ukiangalia wachezaji benfica ambao wamesajiliwa au kutolewa kwa mkopo dirisha dogo hili msuva hayupo.
Hata panathaoikos ya ugiriki, ambapo ilidaiwa msuva kapelekwa kwa mkopo hayupo pia.
Ni kama hii taarifa ilikuwa ni hoax.
Siku hizi wengi wameamua kutumia link kwa taarifa zao hapa. Hawajui kwamba ni kama wanaongea peke yao. Hizi link ni kama hewaHuwa situmii link..
Nakiri hiyo taarifa ulete hapa.