Vipi kuhusu gx 100 ya cresta na mark ii?

Vipi kuhusu gx 100 ya cresta na mark ii?

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
802
Wakuu, naomba ushauri ipi nzuri? fuel consuptio@n ;durability; comfortabilty etc.
 
Mark II grand iko poa sana ila zote ni majin mafuta zina kiu ya mafuta. 24 hrs,*365 1/4
 
Hazifwafai hoehae kiwese shida yanabugia balaa na hii foleni utaona tu vioo wazi wakati ac nzima
 
Hazifwafai hoehae kiwese shida yanabugia balaa na hii foleni utaona tu vioo wazi wakati ac nzima

Hahaha hizi nzuri kwa wakazi wa Tandare, K,nyama huko kwa mkazi wa Kiluvya au Kibamba lazima aive na joto ndani
 
Zote ni nzuri sana zipo confortable ukikaa ndani , mimi nazipenda sana hizi gari kwa speed ya 180 cresta utaipenda maana inatulia barabarani, hata mark II
 
gx 100 cresta iko poa sana kuliko mark II sababu ya consuption. Cresta engine yake ni v vti hainywi sana (1ltr=9km) ila mark II ni v6 (1ltr=7-7.5km)
Nimezitumia zote.
 
Wakuu, naomba ushauri ipi nzuri? fuel consuptio@n ;durability; comfortabilty etc.

Wakuu samahani kwa kuingilia post ya mtu.Nami napenda kuifahamu TOYOTA SIENTA.Nimetokea kuipenda sana hii gari lakini naziona chache sana mtaani.Je,zina tatizo lolote sugu? Matumizi yake ya mafuta yakoje? Na pia upatikanaji wa spare zake.Naamini kuna watu humu watakuwa wazijua vizuri hizi gari.Naomba kuwasilisha.
 
gx 100 cresta iko poa sana kuliko mark II sababu ya consuption. Cresta engine yake ni v vti hainywi sana (1ltr=9km) ila mark II ni v6 (1ltr=7-7.5km)
Nimezitumia zote.

cresta gx 100 vvti 6-cylinder i6 Ni sawa na mark 2 gx110 ambazo Ni vvti 6cylnder i6 na c v6 kama ulivyosema na consumption yake almost the same
 
Back
Top Bottom