Vipi kuhusu Bachelor of agriculture economics and agribusiness?

Chukua Agriculture economics ans AGRIBUSINESS hujuti maisha yako yote..
Hiyo ndo kozi iliyosimama
 
BSAgric. Economics and Agribusiness ni safi kama una ufaulu mzuri kwani ushindani ni mkubwa (priority and quality program) hadi leo jioni kwa nafasi 230 wana waombaji 611 first choice, 414 second, 371 third, 346 fourth na 260 fifth. Mwaka wa jana cut off ilikuwa 10 points (za TCU).
 
toeni ushauri...mbona mnapenda kuchangia vitu visivyo vya msingi..sasa si nmeelewa wakuu toeni ushaurii positively msikomalie vitu visivyo na tija kama hutaki kutoa ushauri basi sio kutukanana....humu tunarekebishana ty
 
Degree Program zote hizo mbili zinahitaji ujitume... SUA sio sehem ya majaribio, inahitaji ujipange na hiyo Land Management sio degree ya kitoto. Kama umesoma HGE na EGM na huna misingi ya Physics usiende Land Management utajichimbia kaburi mwenyewe...
Lakini bruh wapo ambao wame na izo HGE so kila kitu ni kujituma nakuamini kama unaweza hakuna kitu kinachoshindikana thus why kwenye requirements zako tcu wameorodhesha hayo masomo.
 
Hiyo faculty ni nzuri kwa pale SUA. Ajira zake zipo nyingi tu lakini katika sector ya kilimo
 
Back
Top Bottom