Habari wana JF. Nilipokuwa niki update window ya PC yangu, niliwekewa ujumbe ukisema "You may be a victim of software counterfeiting"Je kuna kitu kibaya kitafuatia in the future na kuharibu window yangu au vinginevyo?Au niendelee na matumizi ya PC bila wasiwas?Unajua tena kwa vipato vya watanzania tuliowengi hatumudu kuwa na GENUINE WINDOW.Nitangulize shukrani kwa mawazo yenu.