THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Habari za jioni wadau wa soka la Bongo.
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshtuka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda makundi mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua mwenyeji.
Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo nakiamini kuwa hata Yanga anaweza kupita pale Sudan. Sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizamani kuwa Kila timu eti inashinda kwake. 😂😂😂
Kwahiyo eti Yanga anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo kwake. Hizi ni akili za kizaman sana wadau, siku hizi unapasuliwa upo mbele za mashabiki zako, uwanja wako, pia na wake zenu wapo.
Naongea hili nikiwa mfuatiliaji wa soka la sasa hivi kwa karibu sana. Mwaka jana;
1. Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapa hapa Tanzania akatolewa, tena huyu alishinda ugenini kabisa.
2. Ajax alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago.
3. Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin.
4. Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam mchezo wa kwanza walitoka sare pale White Lane.
5. Atletico alimtoa pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain.
6. Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.
NB: Siku hizi kwenye soka hakuna cha nyumban wala wapi, sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kuwa Afrika bado tuna ile suala la goli la ugenini tu.
NARUDIA: Siku hizi hakuna cha nyumbani wala wapi, unapigiwa hapohapo.
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshtuka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda makundi mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua mwenyeji.
Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo nakiamini kuwa hata Yanga anaweza kupita pale Sudan. Sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizamani kuwa Kila timu eti inashinda kwake. 😂😂😂
Kwahiyo eti Yanga anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo kwake. Hizi ni akili za kizaman sana wadau, siku hizi unapasuliwa upo mbele za mashabiki zako, uwanja wako, pia na wake zenu wapo.
Naongea hili nikiwa mfuatiliaji wa soka la sasa hivi kwa karibu sana. Mwaka jana;
1. Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapa hapa Tanzania akatolewa, tena huyu alishinda ugenini kabisa.
2. Ajax alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago.
3. Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin.
4. Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam mchezo wa kwanza walitoka sare pale White Lane.
5. Atletico alimtoa pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain.
6. Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.
NB: Siku hizi kwenye soka hakuna cha nyumban wala wapi, sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kuwa Afrika bado tuna ile suala la goli la ugenini tu.
NARUDIA: Siku hizi hakuna cha nyumbani wala wapi, unapigiwa hapohapo.