Vipengele vya Katiba vinavyompa kiburi Rais

Vipengele vya Katiba vinavyompa kiburi Rais

Vipengele vya Katiba vinavyompa JEURI Rais wa nchi. Ibara 46(1) inayompa KINGA ya kutoshtakiwa kwa kosa la JINAI, ibara 41(7) inayokataza matokeo ya kura za Uraia yasichunguzwe, hata na mahakama & ibara 74(12) inayokataza Tume ya Uchaguzi (NEC) kufikishwa mahakamani.

Kinachofanyika ni kwamba, Rais anatoa MAAGIZO kwa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi WAMPENDELEE yeye na chama chake, NEC itatekeleza AGIZO. Ukitaka kumuadhibu Rais huwezi, ibara 46(1) inamkinga, humgusi kabisa! Ukitaka kuiadhibu NEC, huwezi, ibara 74(12) inaipa ULINZI, NEC haigusiki. Ukitaka kwenda mahakamani KUPINGA matokeo kwamba Rais ameiba uchaguzi, pia huwezi, ib 41(7) INAKATAZA – yaani matokeo yakoshatangazwa ngoma imeisha, hata kama una USHAHIDI umeshinda wewe.

Yaani, NEC inaweza panda juu ya mlima na kumtanga mtu ameshinda Urais, basi tunasubiri tena miaka 5 mingine.

Halafu kuna WAHUNI wanasema Katiba haina shida yoyote ile!
Hii ni Katiba ya CCM. Na ilitengenezwa kwa ajili ya kuilinda CCM na watu wake. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hii Katiba ya 1977 ina manufaa yoyote yale kwa Taifa la Tanzania.
 
Vipengele vya Katiba vinavyompa JEURI Rais wa nchi. Ibara 46(1) inayompa KINGA ya kutoshtakiwa kwa kosa la JINAI, ibara 41(7) inayokataza matokeo ya kura za Uraia yasichunguzwe, hata na mahakama & ibara 74(12) inayokataza Tume ya Uchaguzi (NEC) kufikishwa mahakamani.

Kinachofanyika ni kwamba, Rais anatoa MAAGIZO kwa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi WAMPENDELEE yeye na chama chake, NEC itatekeleza AGIZO. Ukitaka kumuadhibu Rais huwezi, ibara 46(1) inamkinga, humgusi kabisa! Ukitaka kuiadhibu NEC, huwezi, ibara 74(12) inaipa ULINZI, NEC haigusiki. Ukitaka kwenda mahakamani KUPINGA matokeo kwamba Rais ameiba uchaguzi, pia huwezi, ib 41(7) INAKATAZA – yaani matokeo yakoshatangazwa ngoma imeisha, hata kama una USHAHIDI umeshinda wewe.

Yaani, NEC inaweza panda juu ya mlima na kumtanga mtu ameshinda Urais, basi tunasubiri tena miaka 5 mingine.

Halafu kuna WAHUNI wanasema Katiba haina shida yoyote ile!
Hivi mnaona Samia ni mjinga sana kiasi avifute hivi vifungu na hapo hapo aingie kuomba kura? Je, ungekuwa wewe ni Rais ungekubali kuvifuta ili ubamizwe?
 
Katiba haina shida.....

Hivyo ilivyo ndio usalama wetu

Kumshtaki Rais ni hatari sana....

Ona ilivyo Afrika ya Kusini.....ukiacha Mandela hakuna mwingine aliyepona.....
Rais sio nchi, huoni Marais wanatolewa madarakani huki SA na bado nchi Yao Iko stable? Huo ni ushahidi wa katiba Bora.
 
Vipengele vya Katiba vinavyompa JEURI Rais wa nchi. Ibara 46(1) inayompa KINGA ya kutoshtakiwa kwa kosa la JINAI, ibara 41(7) inayokataza matokeo ya kura za Uraia yasichunguzwe, hata na mahakama & ibara 74(12) inayokataza Tume ya Uchaguzi (NEC) kufikishwa mahakamani.

Kinachofanyika ni kwamba, Rais anatoa MAAGIZO kwa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi WAMPENDELEE yeye na chama chake, NEC itatekeleza AGIZO. Ukitaka kumuadhibu Rais huwezi, ibara 46(1) inamkinga, humgusi kabisa! Ukitaka kuiadhibu NEC, huwezi, ibara 74(12) inaipa ULINZI, NEC haigusiki. Ukitaka kwenda mahakamani KUPINGA matokeo kwamba Rais ameiba uchaguzi, pia huwezi, ib 41(7) INAKATAZA – yaani matokeo yakoshatangazwa ngoma imeisha, hata kama una USHAHIDI umeshinda wewe.

Yaani, NEC inaweza panda juu ya mlima na kumtanga mtu ameshinda Urais, basi tunasubiri tena miaka 5 mingine.

Halafu kuna WAHUNI wanasema Katiba haina shida yoyote ile!
Sasa tueleze Nyerere alivyoitunga alikuwa ana mawazo yepi?
 
Back
Top Bottom