tunamshukuru muumba kwayote mema aliyotundea tangu kuaza kwa mwaka mpaka sasa unapoelekea kuisha.kunamagumu mengi tumepita kwa uwezo wake.kipindi cha furaha majozi na huzuni.poleni wale waliondokewa na wapendwa wao(kufiwa) waliopata ajali na kubaki vilema.waliosalitiwa au kuwasaliti wenzi wao.mungu awape neema yatima na wajane wote.mwisho mungu tujalie tumalize salama mwaka.kwa afya mie mzima...