Usikimbile huko. Kumbuka pia vita inatoa mirija mingi sana ya ufisadi. Marekani walitajirika kwa ajili ya vita kuu ya pili. Tenda za aina ya rada zinakuwa nje nje wakati wa vita, na pia ku-supply chakula jeshini, mafuta nk. Wakati wa vita vya kagera wengi "walijitolea" mabasi na malori yao kwa ajili ya vita. Leo hii huwezi kufanya hivyo.
Ukitaka kuona ufisadi wa hali ya juu, acha nchi kama Tanzania iingie vitani, jeshi litauziwa nyanya moja kwa shs 2000!