babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,399
- 3,243
Habari Watz, hakika kila jambo linatoa fundisho kwa jambo jingine. Kufuatia sintofahamu ktk mpaka wetu na Malawi tumeshuhudia viongozi wetu wa kada mbalimbali wakitoa ushauri na wengine wakienda mbali na kutoa maamuzi mazito na ya hali ya juu.
Swali je viongozi hawahawa wenye ushupavu huu linapokuja jambo kama hili la mikataba mibovu, wahujumu uchumi hatuwasikii wakitoa matamko kwa mbwembwe kama hili la mpaka na malawi? Je kwanini masuala ya ndani ya nchi mpaka kulazimishwa kutolea tamko? Jamani shida ni nini kwa viongozi wetu? Suala hili haliko mahakamani jiachieni.
Swali je viongozi hawahawa wenye ushupavu huu linapokuja jambo kama hili la mikataba mibovu, wahujumu uchumi hatuwasikii wakitoa matamko kwa mbwembwe kama hili la mpaka na malawi? Je kwanini masuala ya ndani ya nchi mpaka kulazimishwa kutolea tamko? Jamani shida ni nini kwa viongozi wetu? Suala hili haliko mahakamani jiachieni.