mundo
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 200
- 9
Nimekaa nikafikiria sana jinsi ya tuko hili la viongozi kupigwa na watu waliojipanga kuwatoa roho, Je walikuwa hawana bodyguards? maana hali ambayo tumefikia ni kwamba hata tukikaribishana maji na vinywaji hatunywi sembuse kutembea usiku kama huo?
NIKAWA NAFIKIRIA JE ANGEKUWA WAZIRI MALIMA NA SILAHA ZAKE NINI KINGETOKEA PALE????????
NIKAWA NAFIKIRIA JE ANGEKUWA WAZIRI MALIMA NA SILAHA ZAKE NINI KINGETOKEA PALE????????