VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Viongozi wateule wa ccm mitaa na vijiji walioteuliwa hivi karibuni wameapishwa na kuanza majukumu yao. Miongoni mwa jukumu kubwa ni kuchangisha miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wengi wanajutia kujieleza na kutokukubalika kwa wananchi. Tutarajie sheria na kodi kandamizi kurejea kuwapa nguvu wateule wa ccm.