Viongozi wanaolinda na kutetea rasilimali za mataifa yao maisha yao huwa mafupi sana

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.

Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.

Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!

Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
 
Nyerere alitetea kwa nguvu zake zote aliishi miaka mingapi?
Bandiko lako halina mashiko kwani kuondka duniani kuna sababu nyingi.Mtu ana underlying disease kwa maiak kumi na tano akifa inahusishwa na kulinda rasilimali.
Kazi na iendelee na Maisha yanaendelea!
Mkuu mbona unakuwa mtu usie na uwezo wa kudadavua mambo? Mungu alimlinda tu Nyerere ila wazungu walikuwa hawampendi.
 
Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.

Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za waafrica.

Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!

Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Hujamtaja Hugo Chavez.

Kuna winter miaka ya nyuma kidogo iliwaathiri sana Marekani, baadhi ya familia maskini wakapata msaada wa gesi toka Venezuela.

Mzee mzima akaona kama kavuliwa nguo ukawa uhasama mbaya sana.
 
Unapofanya hvyo hakikisha positive impact yake inaonekana Kwa wananchi eg Ghadafi , sio unatwambia nalinda rasilimali alaf huku tunashindia mihogo , aisee hatuwez kukwelewa Kwa namna iwayo yyte Ile .....
Ajira hutoi, stahiki za wafanyakazi hamna , wafanya biashara Kodi kibao , wakulima kuuza nje unawazingua , unawabomolea watu nyumba zao bila huruma ,alaf unasema napigania rasilimali za Taifa , daah inabd uwe mwehu kumwelewa mtu wa namna hii
 
Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.

Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.

Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!

Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Kuhusu fisadi jiwe soma hapa hajawahi kutetea rasilimali za watanzania zaidi ya kujinufaisha yeye na genge lake
tapatalk_1617940063003.jpeg
 
Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.

Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.

Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!

Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Kwa akili zako mbovu unataka kumjumuisha mfu shetani mtu Magufuli katika viongozi makini, unajisahaulisha kuwa alikuwa mwizi na jambazi!
 
Back
Top Bottom