Viongozi wakuu wa UKAWA watazungumza na waandishi wa habari jioni hii Colosseum Hotel

kwa uthabiti wa mtiririko huu tutakumbuka tu, naamini tulisahaulishwa yote hayo na thumni za watangaza nia. mungu ajaalie kabla ya tarehe 25 october tuwe tumekumbuka na kama ni kusahau basi tuanze mwezi november.
 

Sawa.
Ila jamaa hapo juu analalamika kupotezewa muda kusubiri nani atatangazwa kugombea urais.
Nimemwambia hajalazimishwa kushinda kuzisubiri hizi habari, aendelee na mambo yake akitangazwa atasikia tu kwa namna yeyote ile.
 
umimi..
y not me ?
ndicho kinachowatesa UKAWA.
hakuna umoja kuna unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…