ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,452
- 11,373
Mbona Netanyau na mawaziri wake hatuwaoni kwenye uwanja wa vita ndani ya gaza ,badala yake wapo Telaviv wakila bata na familia zao ,tena Netanyau sasa hivi anaishi kwenye nyumba iliyo jaa mahandaki.
Mwezi wa 12 mwaka jana kuna video ilio waonesha watoto wa Netanyau wakiwa bich wakila bata na malaya nchini Marekani wakati watoto wa waisrael wengine wapo gaza wanakufa na kutiwa vilema.
Alafu kingine viongozi wa kisiasa walioko nje ya gaza wao wanawasikiliza viongozi wa kijeshi walioko gaza watakacho taka ndo kitakacho wasilishwa kwenye mazungumuzo.
Mwezi wa 12 mwaka jana kuna video ilio waonesha watoto wa Netanyau wakiwa bich wakila bata na malaya nchini Marekani wakati watoto wa waisrael wengine wapo gaza wanakufa na kutiwa vilema.
Alafu kingine viongozi wa kisiasa walioko nje ya gaza wao wanawasikiliza viongozi wa kijeshi walioko gaza watakacho taka ndo kitakacho wasilishwa kwenye mazungumuzo.