Maroun MU
Member
- Jul 21, 2012
- 97
- 4
Baada ya kuona wananchi wengi wanadai Nchi yao na wao wanajifanya wapo upande wa wananchi wa kudai Nchi yao hali ya kuwa wao mwanzo ndio walipokuwa wanapinga harakati za kuidai Zanzibar huru lkn nw wanajifanya wapo pamoja na wananchi,Wazanzibar tuwe peke yetu tusiwashirikishe viongozi hao hawana nia nzur na Wazanzibar,JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA