Viongozi wa Simba ndiyo wamechangia kiasi kikubwa sana Simba kutopata matokeo mazuri nyumbani na ugenini

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,288
12,783
Ukweli huu mchungu ni Kama mwiba wa samaki ulionasa kwenye koromeo, unauma sana kila uanpomeza mate au maji.

Ndiyo lakini lazima tuuseme ili kuleta maendeleo (improvements) ya mpira wetu katika tasnia hii ya mpira wa miguu.

Ipo hivii, Chama jr siyo mchezaji/au siyo kipaombele Cha kocha lakini viongozi na mashabiki ndiyo chaguo lao Hilo.
Asipopangwa/akifanyiwa sub yanakuja makelele na kuonekana kuwa kocha hafai wakati kocha hiyo ni kazi yake na anajua Nani amtumie Nani amuache.

Jana chama alipwaya sana, lakini tu huu siyo mchezo wake wa kwanza kupwaya na kutoeleweka kuwa anacheza namba ngapi??

Lakini kutokana na makelele ya viongozi wajuaji/mashabiki wanaoingilia majukumu ya kocha basi kocha Robertinho anaona Bora amuache chama acheze kaa wanavyotaka viongozi.

Nani asiyejua kuwa mashabiki na viongozi walikuwa hawamtaki kibu denis (drogba wa bongo)??
Lakini kocha kakomaa kamuacha kibu na kuwa ndiyo chaguo lake Bora nakumuacha sakho nje Ila kwa kua sakho Hana kismat sana kuliko chama mashabiki wameongea kidogo wamenyamaza.

My take, naona kabisa Peter Banda the Wonder kid namba yake namba kumi na moja ( 11) angepewa angeonyesha maajabu, ntibazonkiza siyo mchezaji wa dakika 90.

Acheni kocha achague wachezaji wanao mfaa kutokana na mfumo wake.

Viongozi wa Simba jifunzeni kwa viongozi wa yanga hawana Mambo ya kumpangia kocha Bali huachwa kocha afanye kile anachokijua na Yanga hakuna mchezaji tegemezi/au mchezaji wa mashabiki.
 
Ukweli huu mchungu ni Kama mwiba wa samaki ulionasa kwenye koromeo, unauma sana kila uanpomeza mate au maji.

Ndiyo lakini lazima tuuseme ili kuleta maendeleo (improvements) ya mpira wetu katika tasnia hii ya mpira wa miguu.

Ipo hivii, Chama jr siyo mchezaji/au siyo kipaombele Cha kocha lakini viongozi na mashabiki ndiyo chaguo lao Hilo.
Asipopangwa/akifanyiwa sub yanakuja makelele na kuonekana kuwa kocha hafai wakati kocha hiyo ni kazi yake na anajua Nani amtumie Nani amuache.

Jana chama alipwaya sana, lakini tu huu siyo mchezo wake wa kwanza kupwaya na kutoeleweka kuwa anacheza namba ngapi??

Lakini kutokana na makelele ya viongozi wajuaji/mashabiki wanaoingilia majukumu ya kocha basi kocha Robertinho anaona Bora amuache chama acheze kaa wanavyotaka viongozi.

Nani asiyejua kuwa mashabiki na viongozi walikuwa hawamtaki kibu denis (drogba wa bongo)??
Lakini kocha kakomaa kamuacha kibu na kuwa ndiyo chaguo lake Bora nakumuacha sakho nje Ila kwa kua sakho Hana kismat sana kuliko chama mashabiki wameongea kidogo wamenyamaza.

My take, naona kabisa Peter Banda the Wonder kid namba yake namba kumi na moja ( 11) angepewa angeonyesha maajabu, ntibazonkiza siyo mchezaji wa dakika 90.

Acheni kocha achague wachezaji wanao mfaa kutokana na mfumo wake.

Viongozi wa Simba jifunzeni kwa viongozi wa yanga hawana Mambo ya kumpangia kocha Bali huachwa kocha afanye kile anachokijua na Yanga hakuna mchezaji tegemezi/au mchezaji wa mashabiki.
Mikia FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC hao achana nao Ngada FC.
 
Wewe ni kima kama kima wengine..
Akili zako zipo makalioni kutwa kuanzisha nyuzi za kishamba kuhusu Simba hujakomaa kishabiki bado.
 
Ukweli huu mchungu ni Kama mwiba wa samaki ulionasa kwenye koromeo, unauma sana kila uanpomeza mate au maji.

Ndiyo lakini lazima tuuseme ili kuleta maendeleo (improvements) ya mpira wetu katika tasnia hii ya mpira wa miguu.

Ipo hivii, Chama jr siyo mchezaji/au siyo kipaombele Cha kocha lakini viongozi na mashabiki ndiyo chaguo lao Hilo.
Asipopangwa/akifanyiwa sub yanakuja makelele na kuonekana kuwa kocha hafai wakati kocha hiyo ni kazi yake na anajua Nani amtumie Nani amuache.

Jana chama alipwaya sana, lakini tu huu siyo mchezo wake wa kwanza kupwaya na kutoeleweka kuwa anacheza namba ngapi??

Lakini kutokana na makelele ya viongozi wajuaji/mashabiki wanaoingilia majukumu ya kocha basi kocha Robertinho anaona Bora amuache chama acheze kaa wanavyotaka viongozi.

Nani asiyejua kuwa mashabiki na viongozi walikuwa hawamtaki kibu denis (drogba wa bongo)??
Lakini kocha kakomaa kamuacha kibu na kuwa ndiyo chaguo lake Bora nakumuacha sakho nje Ila kwa kua sakho Hana kismat sana kuliko chama mashabiki wameongea kidogo wamenyamaza.

My take, naona kabisa Peter Banda the Wonder kid namba yake namba kumi na moja ( 11) angepewa angeonyesha maajabu, ntibazonkiza siyo mchezaji wa dakika 90.

Acheni kocha achague wachezaji wanao mfaa kutokana na mfumo wake.

Viongozi wa Simba jifunzeni kwa viongozi wa yanga hawana Mambo ya kumpangia kocha Bali huachwa kocha afanye kile anachokijua na Yanga hakuna mchezaji tegemezi/au mchezaji wa mashabiki.
Asante,tutayafanyia kazi madai yako
 
Back
Top Bottom