Viongozi wa Mbeya Press Club watwangana ngumi ni kati ya Mwandishi wa NIPASHE na MWANANCHI

Mwamakula

JF-Expert Member
Nov 7, 2010
1,890
382
CHAMA cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata aibu ya mwaka baada ya Katibu wake,Emanuel Lengwa ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la NIPASHE kutwangana ngumi na Mweka Hazina wa MBPC,Brandy Nelson ambaye ni mwandishi wa gazeti la MWANANCHI ofisini wakati wa kikao.Sababu za kutwangana ni mmoja wao kuchelewa kwenye kikao.Wadau hawa wanafaa kuwa viongozi?
 
CHAMA cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata aibu ya mwaka baada ya Katibu wake,Emanuel Lengwa ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la NIPASHE kutwangana ngumi na Mweka Hazina wa MBPC,Brandy Nelson ambaye ni mwandishi wa gazeti la MWANANCHI ofisini wakati wa kikao.Sababu za kutwangana ni mmoja wao kuchelewa kwenye kikao.Wadau hawa wanafaa kuwa viongozi?

Wanafaa kabisa kwani siku nyingine hatajaribu kuchelewa kwenye kikao na hlo ni onyo kwa wengine. Hii nchi ukiona mtu anakua mgumu kuelewa na kutekeleza ni kumtwanga tu akili ikae sawa.
 
Wanafaa kabisa
kwani siku nyingine hatajaribu kuchelewa kwenye kikao na hlo ni onyo kwa
wengine. Hii nchi ukiona mtu anakua mgumu kuelewa na kutekeleza ni
kumtwanga tu akili ikae sawa.

hawana katiba? kanuni za maadili? vinasemaje?
 
ili nchi isonge mbele tunahitaji viongozi kama hao. hata pindaaaa alisema kama husikii utapindwa2
 
CHAMA cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata aibu ya mwaka baada ya Katibu wake,Emanuel Lengwa ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la NIPASHE kutwangana ngumi na Mweka Hazina wa MBPC,Brandy Nelson ambaye ni mwandishi wa gazeti la MWANANCHI ofisini wakati wa kikao.Sababu za kutwangana ni mmoja wao kuchelewa kwenye kikao.Wadau hawa wanafaa kuwa viongozi?

Hiyo si sababu tosha ya kutwangana kuna zaidi ya hilo
 
Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mbey (MBPC) kimepata aibu ya mwaka baada ya Katibu wake Emanuel Lengwa (mwandishi wa NIPASHE) na Mweka Hazinawa wa chama hicho,Brandy Nelson (mwandishi wa MWANANCHI) kutwangana makonde ofisini.
 
Explaim to a f.ool in the language he understands best. kama ni ngumi piga yeye atakuelewa.
 
Back
Top Bottom